Kwa mabazazi tuu

Kwa mabazazi tuu

Wengine nawapotezea hasa wale naowaona wapo siriaz sana. Vingine vichawi. Kuna mmoja anajua nina mwanamke ila tangu kajua ndio kaongeza juhudi sijui ana nia gani.
Angalia sana asije...😂
8d07f9f6-56c7-410b-95f2-f49b7b72c937.jpeg
 
Yule manzi nilisafiri naye toka Dar mpaka Kahama. Kanilalia njia nzima, kanichoma choma na chuchu mara nyingi tu. Ikafika muda akaingia mpaka kwenye masai yangu. Mtu akiona anajua hawa ndio wapenzi sasa.

Tunakaribia Phantoom namuomba namba kachomoa kunipa. Nikaandika fasta kikaratasi nikamuwekea kwenye mkoba hakuwahi kupiga.

Kama unasoma huu uzi nipigie tafadhali. Ilikuwa 2021. Una deni la kulipa, hawezekani unishikishe mapembe njia nzima halafu maziwa nisikamue
hahahahahaha inaskitisha kwa kweli!

Huenda hukumwonesha ushrikiano mkuu.
Ndo maana alikuruka.
Ungemshika taratibu kama unabembeleza katoto
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom