Kwa mabazazi tuu

Kwa mabazazi tuu

Wanyama mabazazi mnakaribishwa kufanya majumuisho ya mawazo na mtazamo!
771347570_18095288318632971_7051732404694969287_n.webp
 
Mbona
Mabazazi siyo wanyama, bali ni neno la Kiswahili linalomaanisha watu waongaji, matapeli, walaghai, au wadanganyifu. Neno "bazazi" (ambalo wingi wake ni mabazazi) hutumika kumwelezea mtu asiye mwaminifu katika maneno au biashara zake, anayetumia hila kujipatia faida. [1] (Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru), [2] (
View: https://x.com/millardayo/status/763448690128412672), [3] (Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru), [4] (https://www.jamiiforums.com/threads/bazazi.234443/)Hivyo basi, hakuna mbuga ya wanyama utakayokwenda na kukuta mnyama anayeitwa bazazi.😂😂😂😂View attachment 3663431

Mbona Mwamba 90 ⁰ hapa ni makutano ya gafla na real x ama extreme coincidence kulingana na maneno ya Mshana?ama wenge la kitenge cha Congo?
 
Hivi yule Makamu wa Samia ukimwangalia unahisi amewahi kuwa bazazi au ni kijana mchele?
Namba zote ulizowahi kupewa na mademu uliwatamani
ulipiga ngapi?
Ulisave ngapi?
Ulikumbuka ngapi?
Ulifanikiwa ngapi?


Ulizofanikiwa
Ngapi zilikuwa na ladha?
Ngapi zilikuwa pasua?
Ngapi ulijutia?😂

Kuwa mkweli mbingu zinakuona🤣
View attachment 3663340
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom