Kwa mabazazi tuu

Kwa mabazazi tuu

DM with all yp.webp
 
sema nachopendea wakaka ukikaa nao seat moja safarini una enjoy sana..! mtu kukusaidia kuweka ama kushusha bag wala siyo shida, unaweza mpandishia miguu ukichoka kuikunja kwenye seat fresh tu, unamuegemea begani ye fresh tu, anaweka miguu unalala zako mapajani ye kwake fresh tu, unauliza hujachoka.!? anakuambia wewe weka tu, kuna muda kwa aibu unashusha maana unahisi mtoto wa watu atakuwa kachoka..!

huwa mna roho gani wenzetu..!??
Huo ujinga sirudii tena😂🙌🏿 nilijifunza..! Niligharamia Bukoba Dar njia nzima halafu tunashuka Ubungo natambulishwa kama anko🙌🏿😎🤣
 
Huo ujinga sirudii tena😂🙌🏿 nilijifunza..! Niligharamia Bukoba Dar njia nzima halafu tunashuka Ubungo natambulishwa kama anko🙌🏿😎🤣
😹😹
sisi tunajua ndugu zetu ninyi mmeumbwa na mioyo ya dhahabu, mnatenda kwa upendo tu, me nikifika ninakoenda nakupa tu ahsante, kama bado unaendelea na safari nakuambia safari njema, huyoo napepeaa..!
 
😹😹
sisi tunajua ndugu zetu ninyi mmeumbwa na mioyo ya dhahabu, mnatenda kwa upendo tu, me nikifika ninakoenda nakupa tu ahsante, kama bado unaendelea na safari nakuambia safari njema, huyoo napepeaa..!
Mungu anawaona🥱🙆🏿‍♂😭😭
 
Namba zote ulizowahi kupewa na mademu uliwatamani
ulipiga ngapi?
Ulisave ngapi?
Ulikumbuka ngapi?
Ulifanikiwa ngapi?


Ulizofanikiwa
Ngapi zilikuwa na ladha?
Ngapi zilikuwa pasua?
Ngapi ulijutia?😂

Kuwa mkweli mbingu zinakuona🤣
View attachment 3663340
Kwani mabazazi ni wanyama gani na wanapatikana mbuga gani tukataliiimoo?
Namba zote ulizowahi kupewa na mademu uliwatamani
ulipiga ngapi?
Ulisave ngapi?
Ulikumbuka ngapi?
Ulifanikiwa ngapi?


Ulizofanikiwa
Ngapi zilikuwa na ladha?
Ngapi zilikuwa pasua?
Ngapi ulijutia?😂

Kuwa mkweli mbingu zinakuona🤣
View attachment 3663340
 
Kwani mabazazi ni wanyama gani na wanapatikana mbuga gani tukataliiimoo?
Mabazazi siyo wanyama, bali ni neno la Kiswahili linalomaanisha watu waongaji, matapeli, walaghai, au wadanganyifu. Neno "bazazi" (ambalo wingi wake ni mabazazi) hutumika kumwelezea mtu asiye mwaminifu katika maneno au biashara zake, anayetumia hila kujipatia faida. [1] (Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru), [2] (
View: https://x.com/millardayo/status/763448690128412672), [3] (Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru), [4] (https://www.jamiiforums.com/threads/bazazi.234443/)Hivyo basi, hakuna mbuga ya wanyama utakayokwenda na kukuta mnyama anayeitwa bazazi.😂😂😂😂
6d0d173e-a647-4f02-a492-31bdf9a083a6.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom