allow cp
JF-Expert Member
- Aug 15, 2026
- 889
- 2,727
Huo ujinga sirudii tena😂🙌🏿 nilijifunza..! Niligharamia Bukoba Dar njia nzima halafu tunashuka Ubungo natambulishwa kama anko🙌🏿😎🤣sema nachopendea wakaka ukikaa nao seat moja safarini una enjoy sana..! mtu kukusaidia kuweka ama kushusha bag wala siyo shida, unaweza mpandishia miguu ukichoka kuikunja kwenye seat fresh tu, unamuegemea begani ye fresh tu, anaweka miguu unalala zako mapajani ye kwake fresh tu, unauliza hujachoka.!? anakuambia wewe weka tu, kuna muda kwa aibu unashusha maana unahisi mtoto wa watu atakuwa kachoka..!
huwa mna roho gani wenzetu..!??
😹😹Huo ujinga sirudii tena😂🙌🏿 nilijifunza..! Niligharamia Bukoba Dar njia nzima halafu tunashuka Ubungo natambulishwa kama anko🙌🏿😎🤣
🙆🏿♂🙆🏿♂😭😭😭 sirudii tena😂😹😹
sisi tunajua ndugu zetu ninyi mmeumbwa na mioyo ya dhahabu, mnatenda kwa upendo tu, me nikifika ninakoenda nakupa tu ahsante, kama bado unaendelea na safari nakuambia safari njema, huyoo napepeaa..!
Hii kazi nawaachia vijana sasa, niliungua ulimi two weeks siweI kunywa chai kisa deki😅😅
Hahahaha sidhani mkuu, ila deki tumepoga sanaaaHahahaha.. Sio hukooo.. Ulikoseshwa njia🤣View attachment 3663417
Wekundu wa msimbaziView attachment 3663405
Kwani mabazazi ni wanyama gani na wanapatikana mbuga gani tukataliiimoo?Namba zote ulizowahi kupewa na mademu uliwatamani
ulipiga ngapi?
Ulisave ngapi?
Ulikumbuka ngapi?
Ulifanikiwa ngapi?
Ulizofanikiwa
Ngapi zilikuwa na ladha?
Ngapi zilikuwa pasua?
Ngapi ulijutia?😂
Kuwa mkweli mbingu zinakuona🤣
View attachment 3663340
Namba zote ulizowahi kupewa na mademu uliwatamani
ulipiga ngapi?
Ulisave ngapi?
Ulikumbuka ngapi?
Ulifanikiwa ngapi?
Ulizofanikiwa
Ngapi zilikuwa na ladha?
Ngapi zilikuwa pasua?
Ngapi ulijutia?😂
Kuwa mkweli mbingu zinakuona🤣
View attachment 3663340
Wanyama mabazazi mnakaribishwa kufanya majumuisho ya mawazo na mtazamo!
Hivi pia sikuna Tanzanian Eagle ama naota?
Huu si uyoga ama ndiyo unaharamishwa kwa namna yake?Hahahaha.. Sio hukooo.. Ulikoseshwa njia🤣View attachment 3663417
Mabazazi siyo wanyama, bali ni neno la Kiswahili linalomaanisha watu waongaji, matapeli, walaghai, au wadanganyifu. Neno "bazazi" (ambalo wingi wake ni mabazazi) hutumika kumwelezea mtu asiye mwaminifu katika maneno au biashara zake, anayetumia hila kujipatia faida. [1] (Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru), [2] (Kwani mabazazi ni wanyama gani na wanapatikana mbuga gani tukataliiimoo?
Kwani huyo Nani wajameni hata ikiwa ni real mamy tuambiane Tu.