😂😂😂😂🙌🏿🙌🏿🙌🏿 kweli wewe mwehu🤣🤣🤣Kuna moja niliwaji kuikuta hivi 👇
View attachment 3663360
Hata hivyo nimeshazeeka sasa, ya kale yamepita, tazama yajayo yanafurahisha!!That's not cheap labda kama umetumia coded language..😂 Ah OK 🙌🏿😂 nimekuelewa..!
Kama unasoma huu uzi nipigie tafadhali. Ilikuwa 2021. Una deni la kulipa🤣Yule manzi nilisafiri naye toka Dar mpaka Kahama. Kanilalia njia nzima, kanichoma choma na chuchu mara nyingi tu. Ikafika muda akaingia mpaka kwenye masai yangu. Mtu akiona anajua hawa ndio wapenzi sasa.
Tunakaribia Phantoom namuomba namba kachomoa kunipa. Nikaandika fasta kikaratasi nikamuwekea kwenye mkoba hakuwahi kupiga.
Kama unasoma huu uzi nipigie tafadhali. Ilikuwa 2021. Una deni la kulipa, hawezekani unishikishe mapembe njia nzima halafu maziwa nisikamue
Inafikia wakati maini yanachoka, yanachuja sumu hadi yanaungua😅😅Hivi mkuu kwani ng'ombe anazeeka maini!?🤣
Kwahiyo unaiacha iatamie au ijipige!?🤣Ha ha ha! Neno bazazi limenikumbusha jamaa yangu Msukuma enzi za chuo, tukikutana kwenye bata, tunaitana Bazazi, Mwanaizaya, Nyanoko bhebhe. Tunacheka sio poa. 😁
Kuhusu mada: Mimi huwa sisevu namba, naiacha kwenye simu tuu mpaka badae sana.
Kwahiyo unaiacha iatamie au ijipige!?🤣
Hahahaha dah!!Hizo poison sasa🙌🏿View attachment 3663387
sema nachopendea wakaka ukikaa nao seat moja safarini una enjoy sana..! mtu kukusaidia kuweka ama kushusha bag wala siyo shida, unaweza mpandishia miguu ukichoka kuikunja kwenye seat fresh tu, unamuegemea begani ye fresh tu, anaweka miguu unalala zako mapajani ye kwake fresh tu, unauliza hujachoka.!? anakuambia wewe weka tu, kuna muda kwa aibu unashusha maana unahisi mtoto wa watu atakuwa kachoka..!Yule manzi nilisafiri naye toka Dar mpaka Kahama. Kanilalia njia nzima, kanichoma choma na chuchu mara nyingi tu. Ikafika muda akaingia mpaka kwenye masai yangu. Mtu akiona anajua hawa ndio wapenzi sasa.
Tunakaribia Phantoom namuomba namba kachomoa kunipa. Nikaandika fasta kikaratasi nikamuwekea kwenye mkoba hakuwahi kupiga.
Kama unasoma huu uzi nipigie tafadhali. Ilikuwa 2021. Una deni la kulipa, hawezekani unishikishe mapembe njia nzima halafu maziwa nisikamue
Ni kweli, kuna ziko yummy sana!