FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,777
Hebu tuache chuki binafsi, ukame wa fikra na jazba za kisiasa zisizo kuwa na tija na baadala yake tujikite katika mada husika. Naona unajaribu kwa nguvu zote kuikwepesha mada husika na kuanza kuongelea watu binafsi. Hii mada haimhusu Dr. Slaa wala Mbowe hata kidogo. Sasa zijui chuki zako kwa watu hawa zinatokana na nini!
Haiwahusu? wao si wana kambi kuu ya upinzani bungeni? au hulijui hilo? ulishawasikia wakalikemea hata siku moja bungeni au kupeleka mswaada wa mambo haya ambayo kila siku tunayo mitaani?
Wao ndio wanatakiwa wawe wapinzani wa kwanza wa mambo hayo, kinawashinda nini? au wako pale kuchezeana tu na mahawara zao waliowajaza viti maalum bungeni? Lakini hilo limeshastukiwa 2015 hakuna tena upuuzi huo.
Fikiri nje ya box.