Samatime Magari
Senior Member
- Feb 10, 2017
- 103
- 388
Je unajua kwamba kwa sasa ukitaka kurenew leseni ni mpaka uwe na cheti cha udereva, Yani cheti cha uliposomea udereva, sasa kama leseni ilikufata nyumbani jiandae. Sasa naweza jiuliza hii issue imetokea wapi, iko hivi..
.
Duru zinasema kuna mwamba mmoja maarufu kwenye ndondi alikua anapiga mvinyo, Hilo eneo walikuwepo pia wakuu wa vitengo nao wakipiga mvinyo soo jamaa mvinyo ulivyopanda akajimwambafy [akaropoka] alivyopata leseni, mind you jamaa ni muongeaji na anasauti kubwa..
.
So akawa anajisifu kuwa Yeye alitoa mipunga leseni ikamfata chumbani akiwa amelala, Wakuu wa vitengo walivyosikia hizi kauli hawakupenda, zilikua zinalichafua geshi, Sasa ikatolewa order kwamba kuanzia sasa utaratibu/sheria ifatwe kwa usahihi Yani ukihitaji leseni lazima uwe umepitia driving school inayotambulika, umegraduate/pass na umevaa joho..
Na hapa ndo Mwanasheria wa police Ndg Deus Sokoni [pichani hapo juu] akatoa taarifa kwamba kwa sasa watafanya uhakiki wa leseni na madereva na kama hauna cheti basi itakulazimu urudi shule ili uendelee kuendesha gari yako na Inasemekana watafanya ukaguzi so unatakiwa kutembea navyo..
Pia wamewapiga biti wamiliki wa driving school kutokuuza vyeti, Yani ikigundulika kuna cheti kimeuzwa na chuo flani wanafunga hicho chuo, So this is to say wako na database ya vyuo vyote nchini wanavyovitambua, Sasa mtoto wa dada anza kuandaa ada mapema urudi shule..
Binafsi nilikua naangalia applicability ya hili jambo bado naona chenga tu, Isije kuwa mwanya tena wa raia flani kujifanyia ustupid na pesa za watu. Anyway muda huwa ni mwalimu mzuri ngoja tuone hii itakavyokua Wachaga huwa wanamsemo unasema Time will tell ngoja tuone.
Sasa Samatime Car Dealers kama kampuni kwa mwezi huu wa 4 tutatoa OFA ya kukupeleka Driving school BURE, Na hii itakua ni kwa wateja 2 tu watakao order gari kwa mwezi wa 4, Yani unaagiza gari, wakati gari inakuja wewe uko zako shule unasoma.
Uzuri hii haihitaji boarding, unless otherwise una Mahitaji maalumu au unahitaji nguvu za ziada kuelewa, Sasa lengo la hawa Jamaa [Police] wanasema ni kuhakikisha madereva wote wanasoma, Yani madereva wazijue sheria za barabarani na matumizi sahihi ya barabara, Ndugu nikutakie maandalizi mema unapojiandaa kurudi chuo.
Na kama uko interested na madini kuhusu magari basi follow kurasa zetu za jamii twiter, Instagram, facebook na tiko tok Ili next time usipitwe na madini tunayotoa hapa kwa ajili yako, Pia tuna free coaching groups za magari WhatsApp na telegram. Hapo ni kwa wapenda magari tu kama huyapendi pita kushoto mtu wa Mungu.
Hapo utakutana na wadau wa magari, wanasema wanazi + madini kwa undani zaidi kuhusu magari, Kama uko interested Bofya hii link [https://wa.me/message/FSJ6DHIDTAVDA1……] itakuleta WhatsApp then share jina lako na unako patikana, tutasave number yako then utaungwa..
.
Pia Kama unahitaji kuagiza gari Japan/Singapore/Uk etc karibu tutaku assist, Tuko na network ya trusted dealers kwa Japan, UK, Singapore, Thailand etc Dealers wanaotupa gari zenye ubora wa juu kwa bei safi.. . Tutafanya mchakato wako wa kupata gari kuwa rahisi + salama.
.
Simply bofya link kwenye Bio njoo WhatsApp au ofisini Posta Mpya Phoenix House mkabala na Mkapa tower tutaku assist + kukushauri, Kama uko mkoani na unahitaji kuagiza gari utatupa hitaji lako tutakupa Ushauri pia then tutakutumia options za gari ukishachagua utapewa invoice.
.
Utafanya malipo at cost [no extra cost] huko huko ulipo mpaka gari itafika na utakuja kuichukua au kuletewa ulipo Plus utakua unapewa updates za gari yako on daily basis gari itafika itasajiliwa na utakabidhiwa ikiwa na BIMA 3rd part, Fire Extinguisher na Triangle.
Asante
Samatime Magari
0714547598