Nanaa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,893
- 3,712
leo ni siku yangu rasmi ya kuagana nawana MMU.kuanzia kesho na kuendelea sitakuwepo huku tena.kwa hiyo nataka kuagana nao vizuri mama sijawahi kugombana na mwana MMU yoyote mimi mtu wa amani tu.
Haya ukifika muda wa kuondoka nambie nikusindikize, hakikisha hakuna ulichosahau.