Kwa herini wana MMU hamtaniona huku tena

Kwa herini wana MMU hamtaniona huku tena

SAYANSIKIMU

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2014
Posts
1,132
Reaction score
260
Ninayo masikitiko makubwa kuwaambia rasmi kuwa na hama jukwaa hili nakuhamia jukwaa la la siasa na jukwaa la katiba mpya maana naona kunamatatizo katika nchi yetu.nashukuru sana kwa upendo wenu na kunilea kama mtoto wenu.

Kweli ninawapenda lakini nikiangalia matatizo ya kisiasa ni mengi ndio maana nahama rasmi jukwaa hili ili nikalete mabadiliko katika nchi hii.

Pia nawaalika wana MMU wanaoshinda hukuhuku tuhamie jukwaa la siasa tushirikiane kwa pamoja kutatua matatizo ya nchi yetu.asanteni.
 
Mmmh hebu ngoja kwanza nipekenyue ushiriki wako hapa MMU nione kama kweli wastahiki kuaga au tukuache tu uende zako...

Nakuaminia daddy ake mie.... Twasubiri mlisho nyuma kwa hamu!!
 
Hadi saa 8:13 kwa saa za EAC huu hapa chini ndio mchango wako wa jumla kwa JF, kwa takwimu hizi ni bora ungesepa kimya kimya tu:

Habari na Hoja mchanganyiko:12
Mahusiano, mapenzi, urafiki:8
Jukwaa la Elimu (Education Forum):1
Complaints, Congrats, Advice:1
Tech, Gadgets & Science Forum:1
 
Ninayo masikitiko makubwa kuwaambia rasmi kuwa na hama jukwaa hili nakuhamia jukwaa la la siasa na jukwaa la katiba mpya maana naona kunamatatizo katika nchi yetu.nashukuru sana kwa upendo wenu na kunilea kama mtoto wenu.kweli ninawapenda lakini nikiangalia matatizo ya kisiasa ni mengi ndio maana nahama rasmi jukwaa hili ili nikalete mabadiliko katika nchi hii.pia nawaalika wana MMU wanaoshinda hukuhuku tuhamie jukwaa la siasa tushirikiane kwa pamoja kutatua matatizo ya nchi yetu.asanteni.
nenda tu ukila ban ndo utajua mmu nonu..
 
Hadi saa 8:13 kwa saa za EAC huu hapa chini ndio mchango wako wa jumla kwa JF, kwa takwimu hizi ni bora ungesepa kimya kimya tu:

Habari na Hoja mchanganyiko:12
Mahusiano, mapenzi, urafiki:8
Jukwaa la Elimu (Education Forum):1
Complaints, Congrats, Advice:1
Tech, Gadgets & Science Forum:1
teh teh muwache aende zake anataka kujua jinsi ya kuanzisha uzi..
 
Hadi saa 8:13 kwa saa za EAC huu hapa chini ndio mchango wako wa jumla kwa JF, kwa takwimu hizi ni bora ungesepa kimya kimya tu:

Habari na Hoja mchanganyiko:12
Mahusiano, mapenzi, urafiki:8
Jukwaa la Elimu (Education Forum):1
Complaints, Congrats, Advice:1
Tech, Gadgets & Science Forum:1

Nakushukuru... Mtoa mada :bye:
 
Hadi saa 8:13 kwa saa za EAC huu hapa chini ndio mchango wako wa jumla kwa JF, kwa takwimu hizi ni bora ungesepa kimya kimya tu:

Habari na Hoja mchanganyiko:12
Mahusiano, mapenzi, urafiki:8
Jukwaa la Elimu (Education Forum):1
Complaints, Congrats, Advice:1
Tech, Gadgets & Science Forum:1

nilicho kipata huku ni kikubwa sana kushinda ripoti hii unayo nipa. niliomba ushauri kwenu kupitia thread ya SIJUI LINI NITAPATA MKE MWEMA. kweli nikashauriwa na sasa nimesha mpata mwenza mwenye tabia njema ambaye tutafunga ndoa miaka ljayo.kwa sababu hiyo nimeona ni vibaya kuondoka kimya kimya bila kuaga.
 
nilicho kipata huku ni kikubwa sana kushinda ripoti hii unayo nipa. niliomba ushauri kwenu kupitia thread ya SIJUI LINI NITAPATA MKE MWEMA. kweli nikashauriwa na sasa nimesha mpata mwenza mwenye tabia njema ambaye tutafunga ndoa miaka ljayo.kwa sababu hiyo nimeona ni vibaya kuondoka kimya kimya bila kuaga.

We nenda tu mkuu kimya kimya...by the way umempata mke mwema au mwenzi mwenye tabia njema?

Ukifika siasani tangaza nia ya kugombea Ubunge au Udiwani bila shaka utapata maana unaonekana una kismati na JF...
 
Mmmh hebu ngoja kwanza nipekenyue ushiriki wako hapa MMU nione kama kweli wastahiki kuaga au tukuache tu uende zako...

tangia nimejiunga JF jukwaa langu lilikua hilihili muda mwingi nilikuwa na shinda huku nimeelimika lakini sasa matatizo ya nchi yetu ni mengi.ndio maana nawaaga huku nikiwa na maumivu na majonzi makubwa moyoni mwangu.
 
nenda tena nenda ... loh sijui kama hunafaida. mkuuu nendaaaaaaaaa. tena kimbia
 
We nenda tu mkuu kimya kimya...

Ukifika siasani tangaza nia ya kugombea Ubunge au Udiwani bila shaka utapata maana unaonekana una kismati na JF...

asante sana mkuu kama ikiwezekana naomba unipe kampani tuondoke pamoja tushirikiane kutatua matatizo ya nchi yetu maana kwakweli sio vizuri kushinda hukuhuku wakati nchi yetu ikihangaika na migogoro mikubwa ya kisiasa na kiuchumi.
 
tangia nimejiunga JF jukwaa langu lilikua hilihili muda mwingi nilikuwa na shinda huku nimeelimika lakini sasa matatizo ya nchi yetu ni mengi.ndio maana nawaaga huku nikiwa na maumivu na majonzi makubwa moyoni mwangu.

Mkuu matatizo ya nchi hayatatuliwi kwa sisi kuandika hapa au kubishana...

Yanaanza na wewe kubadilika kwanza na kuwa mfano dhahiri kifizikia...

Kama mtaani kwenu kulikuwa hakuna barabara, anza kuhamasisha wa kwenu kuchonga barabara...

Kw aumri wako huo wa miaka 23ungali kijana mwenye ari ya kuweza kuungana na vijana wenzako kuwa mfano na chachu kwa wengine...
 
asante sana mkuu kama ikiwezekana naomba unipe kampani tuondoke pamoja tushirikiane kutatua matatizo ya nchi yetu maana kwakweli sio vizuri kushinda hukuhuku wakati nchi yetu ikihangaika na migogoro mikubwa ya kisiasa na kiuchumi.

watu8 yupo majukwaa yote yenye tija hapa JF, ubongo wangu haujakandamizwa mahali pamoja tu...

Hivyo labda nikukaribishe siasani na majukwaa mengine zaidi ya MMU utayopenda kushiriki...
 
We nenda tu kwani mpaka uage?ukikuta mademu weusi huko hasa wabunge nishtue nije huko
 
MMU ni pasua kichwa na rusha roho juu.

Karibu siasani, huko mambo shwari hakuna pasua kichwa wala rusha roho.

Subiri kidogo, kule kuna bayana tu hakuna mapenzi, unaweza kuiaga JF moja kwa moja ukileta za kuleta, tena nakutahadharisha, kule uwe makini la sivyo utaiaga JF kabisa. Maana kule kuna misukule kibao, kalagabaho.
 
nenda tena nenda ... loh sijui kama hunafaida. mkuuu nendaaaaaaaaa. tena kimbia

miss chagga usinifukuze sio kwana nawachukia wana MMU. ni matatizo tu ya kisiasa na kiuchumi ndo yamenisababisha kuchukua maamuzi magumu namna hii.nakuomba nawewe unipe kampani tuondoke pamoja maana kweli taifa letu la Tanzania linahitaji mabadiliko .tukishinda hukuhuku haya matatizo ya kisiasa hayataisha.
 
Ninayo masikitiko makubwa kuwaambia rasmi kuwa na hama jukwaa hili nakuhamia jukwaa la la siasa na jukwaa la katiba mpya maana naona kunamatatizo katika nchi yetu.nashukuru sana kwa upendo wenu na kunilea kama mtoto wenu.kweli ninawapenda lakini nikiangalia matatizo ya kisiasa ni mengi ndio maana nahama rasmi jukwaa hili ili nikalete mabadiliko katika nchi hii.pia nawaalika wana MMU wanaoshinda hukuhuku tuhamie jukwaa la siasa tushirikiane kwa pamoja kutatua matatizo ya nchi yetu.asanteni.

una total post 42 mpaka sasa 8.47am!

kati ya hizo MMU imepewa ngapi?

[h=4]Top Areas Of Posting[/h]
Habari na Hoja mchanganyiko12Mahusiano, mapenzi, urafiki8Jukwaa la Elimu (Education Forum)1Complaints, Congrats, Advice1Tech, Gadgets & Science Forum1


siasani hujawahi kwenda kabisa!!! kuwa mwangalifu usije ukapokelewa na kofi la paw!!
 
MMU ni pasua kichwa na rusha roho juu.

Karibu siasani, huko mambo shwari hakuna pasua kichwa wala rusha roho.

Subiri kidogo, kule kuna bayana tu hakuna mapenzi, unaweza kuiaga JF moja kwa moja ukileta za kuleta, tena nakutahadharisha, kule uwe makini la sivyo utaiaga JF kabisa. Maana kule kuna misukule kibao, kalagabaho.

Naona unampa za chembe kabisa, ajitayarishe na vidonge vya pain killer kabisa.
 
Back
Top Bottom