Kwa herini wana MMU hamtaniona huku tena

Kwa herini wana MMU hamtaniona huku tena

miss chagga usinifukuze sio kwana nawachukia wana MMU. ni matatizo tu ya kisiasa na kiuchumi ndo yamenisababisha kuchukua maamuzi magumu namna hii.nakuomba nawewe unipe kampani tuondoke pamoja maana kweli taifa letu la Tanzania linahitaji mabadiliko .tukishinda hukuhuku haya matatizo ya kisiasa hayataisha.
ushauri wangu nenda mwenyewe ila waambie kupata mabadiliko nikuchinja chinja kila kiongozi aliyo madarakani na kuanza upya that alll.... kama ni wale wale tu ni kupoteza mda
 
una total post 42 mpaka sasa 8.47am!

kati ya hizo MMU imepewa ngapi?

[h=4]Top Areas Of Posting[/h]
Habari na Hoja mchanganyiko12Mahusiano, mapenzi, urafiki8Jukwaa la Elimu (Education Forum)1Complaints, Congrats, Advice1Tech, Gadgets & Science Forum1


siasani hujawahi kwenda kabisa!!! kuwa mwangalifu usije ukapokelewa na kofi la paw!!

nitakuwa mwangalifu hilo halinashida .si dhani kama nitapigwa kofi maana wanoshinda jukwaa lile niwatu wenye umri mkubwamkubwa au watu wamakamo na wengi ni wastaarabu.
 
jinsi ninavyo ridhika na niliyempata sijui kama nita anza michepuko.maana sifa zote za tabia njema anazo pia nayeye kajiunga na JF .Kama utapenda naweza kukutajia ID yake lakini mimi nayeye tunahamia jukwaa la siasa na jukwaa la katiba mpya.

embu mtaje nikusaidie kuthaminisha aya taja ,..... hata wenye michepuko wana ndoa nzuri sana na ni wazuri sana ila ndo hivyo tu
 
Hadi saa 8:13 kwa saa za EAC huu hapa chini ndio mchango wako wa jumla kwa JF, kwa takwimu hizi ni bora ungesepa kimya kimya tu:

Habari na Hoja mchanganyiko:12
Mahusiano, mapenzi, urafiki:8
Jukwaa la Elimu (Education Forum):1
Complaints, Congrats, Advice:1
Tech, Gadgets & Science Forum:1




kwahiyo hizo namba ndo jumla ya post zake kila forum??@watu8 ufafanuzi please





Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
nitakuwa mwangalifu hilo halinashida .si dhani kama nitapigwa kofi maana wanoshinda jukwaa lile niwatu wenye umri mkubwamkubwa au watu wamakamo na wengi ni wastaarabu.

kijana wewe unajua umri wa watu? hebu nipe mbinu maana najua busara siku hizi mpaka watoto wanazo..

wazee wa siku hizi nao wanafumaniwa guest house na wanafunzi na wengine mitusi iko kwenye lipsi... hebu nipe mbinu uliyopimia busara!
 
ushauri wangu nenda mwenyewe ila waambie kupata mabadiliko nikuchinja chinja kila kiongozi aliyo madarakani na kuanza upya that alll.... kama ni wale wale tu ni kupoteza mda

sawa mimi ninaenda lakini nakushauri usishinde hukuhuku MMU.kutembelea jukwaa la siasa ni muhimu sana.nakuomba tena kwa lugha ya upole twende siasani maana mimi mwenye tangia nimejiunga JF.nilikuwa nashinda hukuhuku kwa muda mwingi lakini nilipo ingia siasa nilipata uchungu mkubwa nilipo angalia mstakabali mzima wa taifa letu ufisadi rushwa matumizi mabaya ya madaraka na namna watu wanavyo kandamizwa kila kukicha.moyoni niliumia sana ndio maana maana nikaamua tangaza nia ya kuhama huku rasmi niende siasani na huemda miaka ya mbeleni nikatangaza nia ya kugombea nafasi fulani.karibu siasani .
 
jinsi ninavyo ridhika na niliyempata sijui kama nita anza michepuko.maana sifa zote za tabia njema anazo pia nayeye kajiunga na JF .Kama utapenda naweza kukutajia ID yake lakini mimi nayeye tunahamia jukwaa la siasa na jukwaa la katiba mpya.

sisi tupo mkuu tunakusubir ukija kuomba ushaur wa kusartiwa na uliyempenda
 
nilicho kipata huku ni kikubwa sana kushinda ripoti hii unayo nipa. niliomba ushauri kwenu kupitia thread ya SIJUI LINI NITAPATA MKE MWEMA. kweli nikashauriwa na sasa nimesha mpata mwenza mwenye tabia njema ambaye tutafunga ndoa miaka ljayo.kwa sababu hiyo nimeona ni vibaya kuondoka kimya kimya bila kuaga.

uuuuuuwiiiiiii. unatukana mamba kabla hujavuka mto. uchumba sio ndoa na sio kila mahusiano yatazaa ndoa. sikukatishi tamaa but be carefuly. ila nakuombea kila la heri mungu awasaidie kama mukibahatika kuoana.
 
neeeeeeenda ulidandia gari loooo......

tumekumwagia na shombo la ban likukute huko kwenye katiba
 
Bora uende uchumi na ujasiliamali kule. Huko siasani kuna misukule ya Lumumba na Bavicha yaani pasua kichwa balaa.
Kuna Matola,Nicholas,Msalani,Earthmover,erthocryte,Mungi,Simiyu Yetu,Faiza foxy.Yaani ukipishana nao kauli hao utatukanwa hadi ufe.
 
kijana unaondoka saa ngapi utuandae hafla fupi tujipigie vifungu vyetu sie!!!

hebu sema bana, unajuamjini kila kitu dili.....!!!!!

ukizaliwa, dili!

ukifa, dili!

ukiumwa, dili!

kila kitu ni dili siku hizi!
 
sisi tupo mkuu tunakusubir ukija kuomba ushaur wa kusartiwa na uliyempenda

we jamaa usiseme hivyo isije ikawa kweli nikaishia kuabika mie.lakini naamini haitakuwa hivyo.
 
nitakuwa mwangalifu hilo halinashida .si dhani kama nitapigwa kofi maana wanoshinda jukwaa lile niwatu wenye umri mkubwamkubwa au watu wamakamo na wengi ni wastaarabu.

Una maana gani? Hawa wa MMU ni watoto na hawana ustaarabu?
 
Una maana gani? Hawa wa MMU ni watoto na hawana ustaarabu?

hapana wana MMU wanaustaarabu na ndio walio nitunza na kunilea kwa mawazo yao mpaka nimefika hapa na kuniwezesha kupata kilicho chema.ndio maana niliona itakuwa vibaya sana kuondoka kimyakimya bila kuwaaga.
 
Back
Top Bottom