Kwa biti la Kagame wasithubutu tena kupeleka vikosi Goma

Kwa biti la Kagame wasithubutu tena kupeleka vikosi Goma

Kwani we si mtanzania Hadi useme turudie tena.
Nyie wafuasi wachadema ni vilazaaa haswaaa ndio maana hamuezi pewa nchi
Hata vita ikitokea haitoangalia huyu ccm huyu cdm

Rudieni tena
an
 
Ivi unazani hao TISS hawana akil kuendelea kuacha utawala huu uendelee?
Pumbav nyie mnaotaka kutuaribia nchi na vyama vyenu vya kiharakat hamjui hata uelekeo wa taifa
Mpo mpo tuh kazi kuisema serikal
Fanyeni kazi achen siasa na ujuaji
Ndo upumbavu ambao kama wana akili washirikiane na TISS kuukomesha walazimishe katiba mpya inayowapiga pini Wanasiasa.

Inakuwaje mwanasiasa anakuwa juu ya mifumo?

Huu upuuzi upo Tanzania tu ndo mana saivi tunazidi kuwa kituko.
 
Umeandika utumbo sijui kama unaelewa, yani mtu kashavamia nyumbani kwako akachukua vyumba kadhaa akawa anaishi kama kwake, anakuja kutaka kukutoa chumbani kwako unamwambia heshimu mkataba ukiingia chumbani kwangu naenda kukusemea alafu unasema umeshinda?
Barikiwa
 
Ivi unazani hao TISS hawana akil kuendelea kuacha utawala huu uendelee?
Pumbav nyie mnaotaka kutuaribia nchi na vyama vyenu vya kiharakat hamjui hata uelekeo wa taifa
Mpo mpo tuh kazi kuisema serikal
Fanyeni kazi achen siasa na ujuaji
kama kuwa na akili kwao ni kuwaacha CCM waifisadi hii nchi na wavunje Katiba watakavyo basi nakubaliana na wewe wana akili.
 
Naomba kuchangia Uzi huu.

Kwanza mnaoidharau Rwanda kijeshi futeni hiyo mentality, ni nchi ambayo kiongozi wake amejidhatiti kuunda JESHI imara, utii na lenye ufanisi mkumbwa sana.
RDF ni moja ya majeshi ya kisasa kabisa Afrika hii.

Silaha kubwa ya JESHI LA RDF ni intelijensia Bora sana. Mnaweza msiamini hata ndani ya vyombo muhimu vya kiulinzi na kimaamuzi Kuna maajenti wa Rwanda. Serikali ya nchi yenu imefumbia macho ambapo wanyarwanda wameshika madaraka na nyazifa muhimu kwenye serikali ya JMT.

Je, Tanzania mtaweza kipi dhidi Yao? Mmeruhusu rushwa mpaka namna ya ku recruit vijana kuwaingiza kwenye JESHI letu, je, serikali ya Rwanda itasita kutoa mafungu Kwa akili ya maafisa walafi Ili wawaingize vijana wao jeshini?
Mkuu wa majeshi Afande J.J Mkunda alisisitiza kihusu raia wa kigeni kupata teuzi serikalini but who cares?

Tanzania inakuwa nchi kubwa yenye ushabiki wa kijinga katika mpira na siasa chafu zisizo na manufaa kwetu.

Kagame anajua by numbers haiwezi Tanzania lakini yeye kaja na njia ya kujua mmeamkaje, mmekula Nini, mmefanya Nini na mnatarajia kufanya Nini.
Rwanda wako smart kuliko mnavyodhani, JESHI letu tumelifanya butu Kwa sababu ya siasa za kishabiki, haliko huru Tena kiasi kwamba mwenyekiti wa Chama mkoa ana nafasi ya kumpa maagizo kamanda wa kijeshi.

SILAHA
RDF inaendelea kujiimarisha Kwa silaha za kisasa zaidi toka Kwa washirika wake wakubwa Russia na China.
RDF Ina mifumo Bora zaidi ya Air Defense Systems kuliko nchi zote za ukanda wa EAC ukiacha Ethiopia.

RDF ina viwanda vya ndani Kwa ajili ya light weapons na APCs ( magari ya delaya).
RDF ina attack and utility helicopters ambazo Zina uwezo wa kushambulia toka mbali Kwa mvua ya mashambulizi ya risasi na makombora ya masafa madogo.
Nimetaja silaha zao muhimu tu ( na zinazojulikana wazi) ambazo Kwa asilimia kubwa wapinzani wa Rwanda hawana.

Vita na Rwanda siyo sawa na Malawi Bali ni kazi pevu inayoitaka Tanzania kukaa chini na kuvipa uhuru, uwezo vyombo vya ulinzi.

Hitimisho:
Taifa letu🇹🇿 tunalipenda sana, lakini tusijiaminishe Kwa uwezo wetu wenyewe. Tujiimarishe zaidi.
Umeandika vyema mkuu.

Rushwa italimaliza hili taifa, hakuna mtanzania hata mmoja mwenye uzalendo pale anapoonyeshwa mafungu ya pesa.

Nilimsikia msemaji wa JWTZ akiongea kwa uchungu juu ya wanasiasa wanaopeleka majina ya vijana wanaotaka wapewe kipaumbele kuingia jeshini, kama alimaanisha anachosema basi naona tunakaribia kupona.

Leo hii watu wameshikilia uvyama huyu CCM yule CHADEMA, hakuna mtu mzalendo kabisa, wote ni uchawa tu. Hata hapa kwenye huu uzi utaona vile siasa za vyama zimeharibu hii nchi.
 
Umeandika vyema mkuu.

Rushwa italimaliza hili taifa, hakuna mtanzania hata mmoja mwenye uzalendo pale anapoonyeshwa mafungu ya pesa.

Nilimsikia msemaji wa JWTZ akiongea kwa uchungu juu ya wanasiasa wanaopeleka majina ya vijana wanaotaka wapewe kipaumbele kuingia jeshini, kama alimaanisha anachosema basi naona tunakaribia kupona.

Leo hii watu wameshikilia uvyama huyu CCM yule CHADEMA, hakuna mtu mzalendo kabisa, wote ni uchawa tu. Hata hapa kwenye huu uzi utaona vile siasa za vyama zimeharibu hii nchi.
Taifa lolote ambalo wanasiasa wako juu ya mifumo na utaalam hilo ni Taifa mfu.

Wenye akili walishajua Wanasiasa ni Jau ndo mana wakawawekea Sheria kali na Katiba zenye meno kuwabana.

Huku Wanasiasa ndo mnawafanya miungu watu. Matokeo yake ndo haya sasa.
 
Ndo mnavyolishwa matango pori huko makambini? Unaifahamu Uganda au unaongea ujingaujinga tu? Watu wana Sukhoi SU 30 sita. Wewe Tz una ndege gani ya maana zaidi ya zile takataka zinaunguruma kama kiwanda?
Binafsi, hofu yangu yangu siyo Silaha.

Weakness kubwa ni siasa za CCM. Compromised Jeshi na kama wananchi kama watakuwa kitu kimoja.

Moja ya njia rahisi ya kupigwa ni uasi kutoka kwa wananchi wako.

Unazima wananchi wako wanakaa kimya, akitokea adui wanaungana naye
 
Ninachompendea Kagame, anakuchapa vitani halafu anakuchapa kwa maneno. Very genius guy. Huyu kwa East Africa ndo jabali wa vita...sio Tz, wazee wa historia tuu...vitendo sifuri.

Nikikumbuka yule mjeshi Mtz anakaguliwa mpk kwenye makegeli na vijana wa PK nachoka kabisa!!!
 
Ninachompendea Kagame, anakuchapa vitani halafu anakuchapa kwa maneno. Very genius guy. Huyu kwa East Africa ndo jabali wa vita...sio Tz, wazee wa historia tuu...vitendo sifuri.

Nikikumbuka yule mjeshi Mtz anakaguliwa mpk kwenye makegeli na vijana wa PK nachoka kabisa!!!
 
Kama kawaida yake jana Kagame ametoa biti nzito sana kwa wanaoitishia Rwanda kupitia mgoggoro wa Congo.

Kwa dharau sana kawaita nchi za SADC zilizopeleka vikosi vyake Bukavu na Goma " Confused brothers and Sisters" yaaani kaka zetu na dada zetu waliochanganyikiwa.

Hakuwaacha hapo tu, kawaambia mlichokipata safari hii ni sehemu ndogo tu ya mtakachokipata mkijaribu tena kuleta vikosi vyenu kupambana na Rwanda.

Maneno haya ya Kagame ni ujumbe tosha kwa JWTZ kuwa wajikite kwenye professionalism maana CCM wanavyowaingilia mpaka saivi wamekuwa kituko hadi kwa majirani zetu.

Hongereni CCM kwa kuifanya Tanzania saivi kuwa kituko cha karne.
Siasa hizi bhana ,kwahiyo chadema tufuraie ilo ulilolitaandika.
 
Kama kikosi kinachopigwa kina baadh ya askance wa tz basi hilo sio jesh la tz.... hizo ni fursa tu zinatolewa kwa vijana waende kama ajira... sheria na myenendo ya huko haigusiani na tz moja kwa moja..

Ukiongelea JWTZ kama ni kikosi basi Sema
Kikosi gani kilipigana na rwanda – kipo chini ya Koplo / Sajenti nani ??.. Kama sio chetu ila kina baadh ya Ascari wetu basi sio chetu.

kiliposhindwa ilipaswa kisaidiwe moja kwa moja na sasa inapaswa tujue ni Kombania gani ilienda ku backup – na ipo chini ya Kapteni / Meja gani ?? Mzembe mzembe

Ikiwa kombania ilishindwa nambie inatokea kwenye Batalioni gani na ipo chini ya Kanali Gani ? asokuwa mwajibikaji hivyo ??

heb nipe taarifa za Brigedi ya hiyo battalion ilofeli kumchqpq mranda walipokutana na usisaha Brigedia Jenerali Anaeiongoza. Ongeza na taarifa za Divisheni na Meja Jenerali pia kwa hapa TZ tuna
Kundi la Majeshi (Corps) ambalo lipo chini ya Luteni Jenerali
Acha kulisema Jeshi Kuu (Army) na Jenerali wake kiboya boyq mze.

JESHI SIO WANA SIASA WENU WAIMBA TAARAB HAO.
Silaha zenu anawapa Lugumi.

Ligumi ni mtu wa Kagame.

Kama.Kagame amewakagua mpaka chupi, hakuna alichobakiza.
 
Waziri wa ulinzi mwenyewe mweupeee...darubini anageuza ka nyoka anaingia shimoni
Na kweli, amiri jeshi kuwa mwanamke sio issue lakini waziri wa ulinzi kuwa mwanamke inapunguza motisha kwa wapiganaji. Mambo ya jeshi hayana usawa wa kijinsia hata Mungu alijua hilo ndio maana akamwambia Adam utatafuta kwa jasho na utakuwa mlinzi wa Eva.
ziri
 
Kati ya israel na Iran nani ana makelele?🤣🤣🤣
Iran ni SI Unit ya Mikwara duniani.

Kuna mikwara walipiga nikasema hawa watu wako serious
1. Leo tutapiga tukio Dunia itakumbukua miaka 100
2. Leo tutarusha makombora 400 na Dunia itashangaa, wakarusha 3

Yaani wanachofundisha Iran, tumia mdomo sana
 
Ninachompendea Kagame, anakuchapa vitani halafu anakuchapa kwa maneno. Very genius guy. Huyu kwa East Africa ndo jabali wa vita...sio Tz, wazee wa historia tuu...vitendo sifuri.

Nikikumbuka yule mjeshi Mtz anakaguliwa mpk kwenye makegeli na vijana wa PK nachoka kabisa!!!
 
TISS ni usalama wa nchi mkuu
Hapo we unazungumzia takukuru ndio wahusika na masuala ya rushwa na ufisadi
kama kuwa na akili kwao ni kuwaacha CCM waifisadi hii nchi na wavunje Katiba watakavyo basi nakubaliana na wewe wana akili.
s
 
KIJITI KAGAME amejaa maporojo tu mdomoni, aingie mzigoni tumvunje hizo CHELEWA zake anazoziita miguu.

Akawatishe VIJITI WENZAKE wa Rwanda, HAPA KAZI TU.
 
Hiyo takwimu ya kuwa Jwtz ni jeshi la 6 bora duniani mmeitoa wapi?
Taarifa za Google. Jeshi la mradi wa kokoto na fremu na kupiga raia, huwezi kushangaa kuchukua vitaarifa vya kuokota
 
KIJITI KAGAME amejaa maporojo tu mdomoni, aingie mzigoni tumvunje hizo CHELEWA zake anazoziita miguu.

Akawatishe VIJITI WENZAKE wa Rwanda, HAPA KAZI TU.
 
Back
Top Bottom