Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,932
- 34,916
Huujui mgogoro wa Congo.Tayari USA amesaini mkataba huo wa kumaliza mgogoro:Na USA atachota madini ya kutosha kutoka huko Congo:Yeye Kagame hana resource yeyote zaidi ya kutaka kuiba kutoka Congo:Kitakacho mpata kwa sasa ni yeye kutumiwa vindege vidogo visivyo na rubani na kummaliza:Tayari wakubwa na wenye dunia wapo Congo:Yeye aendelea kulia lia kama mbwa koko lakini kwa sasa its the end of the road.
Kwenye hayo makubaliano, umeona kikundi chochote cha waasi???