Buttler Jo
JF-Expert Member
- May 26, 2025
- 901
- 806
JWTZ ni jeshi la kazi kazi..
Mmeshatuulia Taifa letu. Saivi tunaomba Mungu wapatikane wenye akili wawanyooshe tulifufue upya Taifa letu.Hayo mawazo ya kitaka taka kawaambyie taka taka wenzako huko wenye mtindio wa ubongo wasioweza kufkria
Labda kazi ya kuponda kokoto na kufanya maonyesho ya kwata za kimya kimya.JWTZ ni jeshi la kazi kazi..
Kati ya israel na Iran nani ana makelele?🤣🤣🤣Kama Iran
Kituko ni maudenda aliyepo gerezani na taka taka wenzakeMmeshatuulia Taifa letu. Saivi tunaomba Mungu wapatikane wenye akili wawanyooshe tulifufue upya Taifa letu.
Sie saivi ni kituko kwa watu wenye akili.
Shida sio kyupi. Shida ni vyombo vya nchi kugeuzwa kuwa mazezeta ya CCM.Na kweli Jw wame tia aibu , wizara ya ulinzi ina ongozwa na kyupi , amiri jeshi mkuu nae ni kyupi kwa nini msikae kidada dada
Kagame kiboko chake ni JK hizi kelele kazileta baada ya JK kustaafu na Goma ikachukuliwa huyu ni Kurudisha wakimbizi wote RwandaSaivi wamekuwa Jeshi la Maonyesho. Leo walikuwa Comoro wanacheza kwata ya kimya kimya.
Kweli CCM wametuulia hili Taifa.
Tena kawaambia kuwa mnajisifu mnaweza kushambulia mji wetu Kigali kutoka nchini kwenu sasa nawaambia sisi tunaweza kuja hadi hapo mnapofanyia mashambulizi dhidi ya Kigali na kuwafanyizia.
Kagame mtu hatari sana.
Story za VijiweniMkuu wetu wa majeshi ana ndugu Rwanda upande wa baba yake unategemea nini ?
Ndo mkome. Wenye akili na uwezo mzuri mnawafunga magerezani vilaza na wajinga ndo mnawajaza ikulu, bungeni na kwenye baraza la Mawaziri.Kituko ni maudenda aliyepo gerezani na taka taka wenzake
Nani mwenye uwezo na yupo gerezani?Ndo mkome. Wenye akili na uwezo mzuri mnawafunga magerezani vilaza na wajinga ndo mnawajaza ikulu, bungeni na kwenye baraza la Mawaziri.
Matokeo yake ndo haya sasa.
Kwani Tanzania sasahivi tuna tofauti gani na Congo?Huyo kilichomsaidia ni vile tu hao anaowadhihaki walivyoshtuka kuona wakongo wenyewe hawajipambanii wanawaachia wageni wawapambanie,yaani wanawatoa kafara wageni,wageni walivyoona hivyo wakakacha kupigana ndio shinda yake kwani hakuwa na upinzaji tena ila sio kwa kuwa yupo vyema.
Wewe na ukoo wako mzima mpaka kizazi na 10 na 12 hakuna atakayetokea anayemzidi uwezo wa kiakili Tundu Lissu.Nani mwenye uwezo na yupo gerezani?
Hapo kuna mtu au takataka?
Huo ukoo wangu wenyewe unaujua au unaropoka tu?Wewe na ukoo wako mzima mpaka kizazi na 10 na 12 hakuna atakayetokea anayemzidi uwezo wa kiakili Tundu Lissu.
Wewe ni kielelezo cha ukoo wenu kukosa akiliHuo ukoo wangu wenyewe unaujua au unaropoka tu?
Haya ndo umerukwa na ukichaa unazungumzia jwtz unadhani ile n redbrigade(hamasa)
Haina shida bavicha queenWewe ni kielelezo cha ukoo wenu kukosa akili
Sasa unategemea nini mwanajeshi anatumwa uku kavishwa chuoi ya kijani yenye nembo za jembe na nyundoKama kawaida yake jana Kagame ametoa biti nzito sana kwa wanaoitishia Rwanda kupitia mgoggoro wa Congo.
Kwa dharau sana kawaita nchi za SADC zilizopeleka vikosi vyake Bukavu na Goma " Confused brothers and Sisters" yaaani kaka zetu na dada zetu waliochanganyikiwa.
Hakuwaacha hapo tu, kawaambia mlichokipata safari hii ni sehemu ndogo tu ya mtakachokipata mkijaribu tena kuleta vikosi vyenu kupambana na Rwanda.
Maneno haya ya Kagame ni ujumbe tosha kwa JWTZ kuwa wajikite kwenye professionalism maana CCM wanavyowaingilia mpaka saivi wamekuwa kituko hadi kwa majirani zetu.
Hongereni CCM kwa kuifanya Tanzania saivi kuwa kituko cha karne.
Kama NyetanyauKaangalie hotuba yake ya jana.
Hakika kwa hili nami nawapongeza sana CCM na kiongozi wao.Kama kawaida yake jana Kagame ametoa biti nzito sana kwa wanaoitishia Rwanda kupitia mgoggoro wa Congo.
Kwa dharau sana kawaita nchi za SADC zilizopeleka vikosi vyake Bukavu na Goma " Confused brothers and Sisters" yaaani kaka zetu na dada zetu waliochanganyikiwa.
Hakuwaacha hapo tu, kawaambia mlichokipata safari hii ni sehemu ndogo tu ya mtakachokipata mkijaribu tena kuleta vikosi vyenu kupambana na Rwanda.
Maneno haya ya Kagame ni ujumbe tosha kwa JWTZ kuwa wajikite kwenye professionalism maana CCM wanavyowaingilia mpaka saivi wamekuwa kituko hadi kwa majirani zetu.
Hongereni CCM kwa kuifanya Tanzania saivi kuwa kituko cha karne.