Lord Denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 23,491
- 57,959
- Thread starter
- #321
Suala la msingi JW walienda na wamekula kichapo baada ya mission kufeli.jibu hoja basi, walikwenda kama Tz au kama SADC, hiyo ya kusema ujinga ina maana huna jibu
Hayo walienda kama nani ni kupaka rangi tu.