nakaziakama kipato chakoncha kawaida basi komaa na toyota tu, gari nyingine utapasuka...
Chukua nissan xtrail t30 ukizingatia service zake parts original ina dumu me bro wangu anayi mwaka wa sita sasa bado iko njema wasikutishe ooh sijuhi zingine pasua kichwa hapanakwa bajeti ya milioni 28 nje ya rav 4 kuna gari gani nyingine ya juu imara kwa mtu mwenye kipato cha kawaida ?
1. Toyota Hilux / Surfkwa bajeti ya milioni 28 nje ya rav 4 kuna gari gani nyingine ya juu imara kwa mtu mwenye kipato cha kawaida ?
kwa bajeti ya milioni 28 nje ya rav 4 kuna gari gani nyingine ya juu imara kwa mtu mwenye kipato cha kawaida ?
Kwa hiyo bajet unaokota Passo 4 zinapangana ndani ya fensi panakuwa ushuani
Yeeahkama kipato chako ni cha kawaida basi komaa na toyota tu, gari nyingine utapasuka...