Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

True! Ila lazima na inapendeza mamsapu avuke kabla yako then wewe umalizie,sidhani kama ni tatizo hilo kuchelewa. Au unapenda fasta?
Anyway..nimecheka sana! Its gud uwe na mtu anayependa upendavyo lasivyo mfundishane..

Belinda wanipa mashaka. unabariki mambo ya tigo na kufundishana? uwe wa kwanza kupractice ndio uwaambie na wengine. mi nadhani kuhusu tigo, tungeishia kunyonya tu, au sio? Masanilo keshaharibu mabinti za watu. wakienda kujifungua inakuwa mzozo. au kuna dawa ya kurudisha misuli ya tigo?
 
Huyu jamaa nafikiri ameshindwa kufikiri kidogo, kwani we huwa huyo ni mke wako au Changu, make kama ni changu halafu wewe unajipa moyo kama huo utakuwa bado hujui njia halisi zinazoweza kumfanya mtu akapata maambukizi ya magonjwa hatari hususani Ukimwi. Kaka kama umezoea kufanya tendo hilo kwa ambaye sio mpenzi wako basi elewa kuwa kuna asilimia zaidi ya 25 utakuwa hauko salama, unless otherwise unafanya kitendo hicho kwa mpenzi ambaye mmepima kwa hiyo hamhitaji mimba zisizotarajiwa, lakini vile vile hata kama unafanya kitendo hicho kwa mpenzi wako ambaye mmepima, basi sio afya sana kwa huyo mpendwa wako kumwaga shahawa zako kwenye mdomo wake, pamoja na kwamba sio mtaalamu wa mambo hayo lakini ningekushauri usirudie tena kufanya kitendo hicho kwani kw ampenzi wako kinaweza kuharibu afya yake, na kama ni kwa changu tu mmekutana ambiance basi romantic seductions kama hizo haziruhusiwi, make ni bora tu upige mzigo kavu badala ya kufanya hivo halafu unavaa kondomu.


Halafu kuhusu Chumvi mwanawane-----hili ni gumu sana kuliacha, ila cha msingi sana na kuzingatia ni kufanya kwa mke wako au mpenzi ambaye kila mtu anafahamu status yake, i mean blood test has been done for all yo, ufanyapo tendo kama hilo labda mzee umeeamua kuuza uraia wako---hapo naamanisha uhai wako-----who wants to be fugitive, no body, ningewashauri wana forum kuwa makini na hili, chumvini kunaheshimika sana, na lazima uwe makini na hili.
 
Mziwanda,
Usintafute ubaya bure jamani.Kama hivyo pia ni vibaya sijui kwa kweli.
Kwanini msiridhike na kile kilichokusudiwa tu? HAYO MAKANDOKANDO mengine ya nini?Kuna magojwa huko mshaambiwa na hamsikii.Ushaskia ugonjwa wa herpes ? Huu hauna tiba rafiki yangu... utaona mtu katokwa mablisters midomoni/milips inatoa malengelenge hadi inatia kinyaa! Kisa kulambalamba kila kitu!Shauri zenu!
 
Mziwanda, YoYo na wengine,
Nadhani kuna wimbi la perversion limeingia kwa spidi ya ajabu na WaTz kama kawaida yao hawachelewi kuiga yale mabaya..( sijui kama wana spidi hiyohiyo kuiga yale mema na yenye manufaa).The bottomline is - do what you gotta do but be mindful of the consequences!Chagua - starehe ya muda mfupi upate madhara baadae au ujiepushe na vishawishi vya kujaribu kila unachokisikia kwa kuchelea kuangamia.
 
Unajuwa siri yao hao watu wanaopenda mambo ya kwenda chumvini? Yaani wakizeeka wanataka kuwahadithia wajukuu zao kama wamekula chumvi nyingi, tena za kila aina, kuanzia za uvinza, mpaka za bonde la ufa...!

Tena usishangae wake zao wasiweze pata ujauzito a.k.a mimba, unajuwa kwa nini, kwani unategemea nini unapokwenda uko chumvini si utakuwa unawala watoto wako mwenyewe kabla...!
Tena watu wa namna hiyo usishangae wakaota au kuwa na ndevu za kwenye meno, kwani unategemea nini kama shamba halija vunwa, nyasi na magugu hadi mlangoni, na wewe kwa kutaka kwako kwingi unapalilia na kulima kwa kutumia meno...! Ndo maana utakuta meno ya watu wengine yana rangi za ugoro, ulochanganyika na umanjano, kijani na weusi...!

Halafu wewe uogopi ukinuka mdomo je...! We zoea tu mambo hayo ya kuzamia, siku mkeo mjamzito na wewe umekazana tu kuramba ramba kama mbwa anakunywa maji, kama ukupigwa teke na jamaa aliye kuwa ndani ya tumbo, sijui utasemaje...! Au ukimnyofoa mguu kwa utamu wa chumvi...! Sijui utasema mtoto kapata polio au...?
Shauri yenu.



LOH !! basi hao watu watakuwa na makole ya paka Dume kula baadhi ya vichanga vyake baada ya kuzaliwa
 
Hebu fikiria hali kama hii ya joto hapa bongo, omba usije ukakutana na kiumbe ambae sehemu hiyo haipitishwi maji kwa siku nzima, alikoga asubuhi akitoka nyumbani kwake. jioni mpo pamoja jollybar mkitoka hapo ni mambo ya( Honeymoon )sasa hiyo chumvi mnayoisema si ndio ile inayomfanya papa kugeuka nguru ?
 
Hahahahah! Papa Kugeuka Nguru ... Mazee kabla ya mambo lazima msogelee bafu bwana...


Hebu fikiria hali kama hii ya joto hapa bongo, omba usije ukakutana na kiumbe ambae sehemu hiyo haipitishwi maji kwa siku nzima, alikoga asubuhi akitoka nyumbani kwake. jioni mpo pamoja jollybar mkitoka hapo ni mambo ya( Honeymoon )sasa hiyo chumvi mnayoisema si ndio ile inayomfanya papa kugeuka nguru ?
 
Utajuwaje kama unapenda au hupendi kama hutojaribu?ujaribu kwanza halafu ndio utowe uwamuzi wako.[/Q It is beautiful it is lovely, it is sweet. Go and try . But try it to your lovely.

Una maana gani unapoandika It is beautiful it is lovely, it is sweet. Go and try . But try it to your ,Baadhi yetu hii lugha ya kikoloni inatupiga chenga.
 
hapana mkuu, nadhani kuwa uongo huuma zaidi. ila kama kuna usafi wa kutosha, waachie wapenzi wafanye kile roho inapenda. this is consistent with the Maslow's hierarchy of needs, and the being is dynamic always to the point of death. na imani pia huyu dynamic being ana mipaka na miiko. there are some things u cant stop them but this does not mean i am among those who do unstopable things
 
hapana mkuu, nadhani kuwa uongo huuma zaidi. ila kama kuna usafi wa kutosha, waachie wapenzi wafanye kile roho inapenda. this is consistent with the Maslow's hierarchy of needs, and the being is dynamic always to the point of death. na imani pia huyu dynamic being ana mipaka na miiko. there are some things u cant stop them but this does not mean i am among those who do unstopable things

Actually I was referring to the principles of thinking, sio matukio mkuu.
 
chumvini si tatizo,ni aina ya madoido ya kutumia unachopenda ili kisikuchoke,mbona chakula wengine wanakula kwa mikono na wengine vijiko ilimradi ladha ipatikane,
 
Mmeongea mengi sana kuhusu chumvini na topeni, lakini kama issue ni kumpa raha mwenzi wako, kwa nini usimpige KATERERO?

Mimi ni mtu ambaye kama wengine wengi hapa jamvini nathamini sana suala zima la kumpa raha ya kutosha bibie, na nitamke hadharani kwamba chumvini nilishawahi kwenda, lakini baada ya kubaini kwamba KATERERO au (kt) inaleta raha sana kwetu sote wawili, niliamua kuachana na mambo ya kuchimba chumvi na nikaamua kuwekeza kwenye kt.

Kwa ambao hawajawahi kupiga kt ni bora wasijaribu, maana kama ukiitumia kwa kila demu unayekutana naye, mwisho wake utakuta mademu wote wameshakuwa wako. Hakuna demu atakayekuacha!!

Achana na kuchimba chumvi/tope, jifunze kt, ni kiboko ya yote, pia huleta raha kwa wote.
 
Wapenda chumvini mnaona? hata mi ni mmoja wao
 

Attachments

  • med-herpessimplex.jpg
    med-herpessimplex.jpg
    15.5 KB · Views: 132
  • med-lipinfection.jpg
    med-lipinfection.jpg
    8.8 KB · Views: 138
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom