Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
Kaka umeongea vizuri sana na nafikiri ameelewa vya kutosha sana,
Lakini umekosea kidogo kushauri wakidada waoshe na sabuni kwenye K ni hatari sana,na mwanamke akiwa anaosha kwa sabuni ana hatari ya kupata maambukizo ya ngozi kwenye K kiurahisi,sana sana Fangasi.ndio maana utakuta wakinadada wengi wasafi na wanasafisha na Sabuni na chupi zao ni safi lakini wanapata muwasho chini,hii ni sababu ya kutumia Sabuni.unashauriwa kunawa vizuri na maji safi tu ,huku ukiingiza kidole ndani kutoa uchafu hadi hapo K itakapokuwa saaaaaaaafi.
NEVER use SOAP to clean your private parts, because soap raises the levels of ph in yr pussy from 5.5 which is acidic and protective to bacteria, to 7.5 which is alkaline, which is a breading atmosphere for bacteria. Use only CLEAN water Only.
Yap ndo maana ya JF kupeana ujuzi na kufahamishana ambavyo personally tunajua na hatuvijui individually