Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 23,959
- 42,165
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU
Kitendo cha Magufuri kuzaliwa Tanzania yalikuwa ni makosa makubwa sana
Taifa hili ni la vilaza watu wenye akili kama Magufuri hawakutakiwa kabisa
Magufuli kalikuta taifa hili miaka 60 ya uhuru halina hata ki fly over cha mchongo yeye akafanya
Magufuli amekuta taifa hili miaka zaidi ya 60 halina hata ki helicopter yeye akashusha madege makubwa
Magufuli kalikuta taifa hili miaka zaidi ya 60 halina hata ikulu wala makao makuu yeye akashusha ikulu ya mfano akajenga makao makuu ya mfano yenye mji ndani yake Magufuri city, tunavyoandika hapa wao hiyo ikulu baada ya Magufuri kufariki wameshindwa hata kupanda miti
Magufuli amekuta miaka zaid ya 60 taifa halina hata stend yeye akashusha stend kila mkoa stend zaid ya airport wao wameshindwa hata kujua wazifanyie nini
Magufuli amekuta taifa hili miaka zaidi ya 60 halina hata bwawa la umeme la maana yeye akajenga la mfano wa dunia nyingine
Magufuli amekuta taifa hili miaka zaidi ya 60 halina hata TREN ya umeme yule mzee wa watu akajenga mavyuma makubwa ya kutisha , siku moja nilifika pale steshen posta aisee nikajiasemea moyoni ndo maana wale akina kikwete walishindwa huu mradi ni mkubwa sana, kwanza tu vile vyuma vilivyoko pale vinatisha aisee, tunavyoandika hapa hawa watanzania wameiua hii TREN ya umeme
Hii nchi ina laana aisee
Magufuri tusamehe sana yaan mama Samia umeshindwa hata kusimamia mwendokas, umekabidhiwa nchi mwendokasi zilikuwa zinafika kibaha saiv hata Morocco hazifiki
TREN ya umeme nayo umeua ila hata hivyo kuua wewe ndo kazi pekee unayoiweza kuifanya kwa uhahika
SAYUNI BOY
Kitendo cha Magufuri kuzaliwa Tanzania yalikuwa ni makosa makubwa sana
Taifa hili ni la vilaza watu wenye akili kama Magufuri hawakutakiwa kabisa
Magufuli kalikuta taifa hili miaka 60 ya uhuru halina hata ki fly over cha mchongo yeye akafanya
Magufuli amekuta taifa hili miaka zaidi ya 60 halina hata ki helicopter yeye akashusha madege makubwa
Magufuli kalikuta taifa hili miaka zaidi ya 60 halina hata ikulu wala makao makuu yeye akashusha ikulu ya mfano akajenga makao makuu ya mfano yenye mji ndani yake Magufuri city, tunavyoandika hapa wao hiyo ikulu baada ya Magufuri kufariki wameshindwa hata kupanda miti
Magufuli amekuta miaka zaid ya 60 taifa halina hata stend yeye akashusha stend kila mkoa stend zaid ya airport wao wameshindwa hata kujua wazifanyie nini
Magufuli amekuta taifa hili miaka zaidi ya 60 halina hata bwawa la umeme la maana yeye akajenga la mfano wa dunia nyingine
Magufuli amekuta taifa hili miaka zaidi ya 60 halina hata TREN ya umeme yule mzee wa watu akajenga mavyuma makubwa ya kutisha , siku moja nilifika pale steshen posta aisee nikajiasemea moyoni ndo maana wale akina kikwete walishindwa huu mradi ni mkubwa sana, kwanza tu vile vyuma vilivyoko pale vinatisha aisee, tunavyoandika hapa hawa watanzania wameiua hii TREN ya umeme
Hii nchi ina laana aisee
Magufuri tusamehe sana yaan mama Samia umeshindwa hata kusimamia mwendokas, umekabidhiwa nchi mwendokasi zilikuwa zinafika kibaha saiv hata Morocco hazifiki
TREN ya umeme nayo umeua ila hata hivyo kuua wewe ndo kazi pekee unayoiweza kuifanya kwa uhahika
SAYUNI BOY