Kinyambiss
JF-Expert Member
- Dec 2, 2007
- 1,374
- 72
Mzee Warioba naomba kwa heshima zote asipelekwe Kisutu sababu watakua wanataka kutuondolea mzalendo na kumchanganya na haya majambazi.
Pse pse watu wa system tunajua mnatumia mtindo gani hapa ili kuepusha kitu kikubwa, tafadhali msimpotoshe muungwana na mnajua kilichotokea leo mpaka Karamagi akapona sababu ya ujinga wenu.
Mwacheni mzee warioba wa watu ambae sio FISADI kabisa, na tunajua EL anatumia mbinu gani hapa.
Taarifa tulizozipata zinadai watajwa wote wapo huru.
Nadhani topic hii inatakiwa kufungwa kwa sasa.
Wapendwa wana JF, naomba mwenye copy ya hotuba ya rais wakati wa kufungua bunge aiweke hapa... haya yote yalitabiriwa if you read that speech between the lines. Aliwaonya viongozi wenzake, akasema wasimuone ancheka ana msimamo na pia aliwaambia tusije laumiana mbele ya safari. Tatizo lililokuwepo ni kwamba wananchi tunataka mambo haraka haraka bila umakini.. mwenzetu JK ana utulivu .. ndio ametuacha tuchonge wewe halafu ndio papu anafanya mambo... pesa za EPA karudisha na sasa wote waliorudisha na ambao hawajarudisha rupango... soma Guardin ya leo kuna mahojiano ya Mkurugenzi wa Mashitaka.. Cha msingi sasa hivi ni kumuunga mkono sio kushangaa.. JK has proved evry one f us very very wrong
Kutokana na mtoto wa mramba kufanya sherehe ya kufuru wakati ule , inasemekana huyo mtoto alizaliwa na anna mkapa sasa hapo sijui ilikuwaje kuwaje ila ule mguu uliharibiwa baada ya huyu mwanamama kurusha stuli
Shy unazungumzia sherehe ipi? Mtoto wa Mramba kwa mama Mkapa ni kiume na alishaoa zamani sana, usije ukawa unamzungumzia huyu binti aliyesendofiwa juzi
~ whistling ~
Aliyesendofiwa? Msamiati wangu unakuwa kila siku. Asante, Mkuu!
Ndugu wana JF,
Uendeshaji wa kesi hizi ni UFISADI pia,
Inasemekana kuwa ni kweli Kesi dhidi ya Karamagi, Zakia na Msabaha iliendesha jana Kisutu, na wako Keko sasa hivi!!!
Walioko TZ wanaweza kudhibitisha hilo, kwa kuwa inasemekana Gazeti la Nipashe leo limeandika!!!!
Sorry kama thread kama hii imeshawekwa hapa janvini na mtu mwingine.
Word to you guys.
Ndugu wana JF,
Uendeshaji wa kesi hizi ni UFISADI pia,
Inasemekana kuwa ni kweli Kesi dhidi ya Karamagi, Zakia na Msabaha iliendesha jana Kisutu, na wako Keko sasa hivi!!!
Walioko TZ wanaweza kudhibitisha hilo, kwa kuwa inasemekana Gazeti la Nipashe leo limeandika!!!!
Sorry kama thread kama hii imeshawekwa hapa janvini na mtu mwingine.
Word to you guys.
Mkuu habari hii jana nimehangaika nayo sana. Kila kitu jana kiliendeshwa kisiri mno, waandishi walishindwa kuelewa kinachoendelea na wengine wakadai hakuna kitu kama hicho.
Nilikuwa na mwandishi eneo hilo na kila nikiwasiliana naye alinambia kashindwa kabisa kuelewa kinachoendelea. Maelezo ya kuwa Meghji, Msabaha na Karamagi walikuwa tayari washahojiwa niliyapata mapema sana lakini inaelekea kama kitendo cha kuwahoji kilifanyika basi kilifanyika kisiri na mashtaka yao walisomewa kisiri sana.
Lemme check the status...