Kuvaa vibaya na ukimwi

Kuvaa vibaya na ukimwi

Yooi Habari zenu ndugu zangu.,kama nipo katika wakati mgumu hivi..kuna Girl anakujaga Sana ofisini kwetu kwa rafiki yake..mazoea ya Mara kwa tukajikuta tumezoeana Sana..mtoto mkali balaa,taa zimewaka kwangu,na kwake PIA.,plus am single natamani nijiweke..but rafiki yake ambae Ni Mfanyakazi mwenzangu anasema Girl anatumia Dawa..sijui nifanyaje..naombeni ushauri..,sometimes nahisi kama Ana wivu ananitisha..mazee nijiweke au nikaushe??
Iko simpo, mwambie muende mkapime wote, na umkomalie kweli, atafunguka! Na hapo ni wewe wa kufanya maamuzi.
 
Yooi Habari zenu ndugu zangu.,kama nipo katika wakati mgumu hivi..kuna Girl anakujaga Sana ofisini kwetu kwa rafiki yake..mazoea ya Mara kwa tukajikuta tumezoeana Sana..mtoto mkali balaa,taa zimewaka kwangu,na kwake PIA.,plus am single natamani nijiweke..but rafiki yake ambae Ni Mfanyakazi mwenzangu anasema Girl anatumia Dawa..sijui nifanyaje..naombeni ushauri..,sometimes nahisi kama Ana wivu ananitisha..mazee nijiweke au nikaushe??
Jiweke mkuu.
 
mwambie mkapime kwanza kama anao automatical atakimbia
 
Yooi Habari zenu ndugu zangu.,kama nipo katika wakati mgumu hivi..kuna Girl anakujaga Sana ofisini kwetu kwa rafiki yake..mazoea ya Mara kwa tukajikuta tumezoeana Sana..mtoto mkali balaa,taa zimewaka kwangu,na kwake PIA.,plus am single natamani nijiweke..but rafiki yake ambae Ni Mfanyakazi mwenzangu anasema Girl anatumia Dawa..sijui nifanyaje..naombeni ushauri..,sometimes nahisi kama Ana wivu ananitisha..mazee nijiweke au nikaushe??
Kama anatumia dawa si ndo mzuri!Je ukikutana na asiyetumia dawa?
 
Yooi Habari zenu ndugu zangu.,kama nipo katika wakati mgumu hivi..kuna Girl anakujaga Sana ofisini kwetu kwa rafiki yake..mazoea ya Mara kwa tukajikuta tumezoeana Sana..mtoto mkali balaa,taa zimewaka kwangu,na kwake PIA.,plus am single natamani nijiweke..but rafiki yake ambae Ni Mfanyakazi mwenzangu anasema Girl anatumia Dawa..sijui nifanyaje..naombeni ushauri..,sometimes nahisi kama Ana wivu ananitisha..mazee nijiweke au nikaushe??

Kwa jinsi hali ilivyo Kausha mkuu!
 
Kumbe we nae ni mzee wa porojo eeeh
 
Mbanjue tena kavu nyavu mara vidole vya mkono mara tatu kwa wiki baada ya miezi mitatu ukipata unachokitafuta shangilia na uoe kabisa!
 
hahaa kweli hujui cha kufanya ,ni sawa na kumuona simba anakuvizia alafu hujui cha kufanya
 
Mpe fimbo tu, ukimaliza chap kunywa zile dawa za kujikinga za masaa 48.

Ukifa na kitu baharini huo ni uzembe
 
Ukimwi ni kama hela kila mtu anasema hana, piga show ya kibabe kwanza mengine baadae
 
Back
Top Bottom