Kuvaa vibaya na ukimwi

Kuvaa vibaya na ukimwi

Yooi Habari zenu ndugu zangu.,kama nipo katika wakati mgumu hivi..kuna Girl anakujaga Sana ofisini kwetu kwa rafiki yake..mazoea ya Mara kwa tukajikuta tumezoeana Sana..mtoto mkali balaa,taa zimewaka kwangu,na kwake PIA.,plus am single natamani nijiweke..but rafiki yake ambae Ni Mfanyakazi mwenzangu anasema Girl anatumia Dawa..sijui nifanyaje..naombeni ushauri..,sometimes nahisi kama Ana wivu ananitisha..mazee nijiweke au nikaushe??
Samahani mkuu kabla sijakushauri naomba nikuuulize. Unataka kupiga KAVU?
 
Yooi Habari zenu ndugu zangu.,kama nipo katika wakati mgumu hivi..kuna Girl anakujaga Sana ofisini kwetu kwa rafiki yake..mazoea ya Mara kwa tukajikuta tumezoeana Sana..mtoto mkali balaa,taa zimewaka kwangu,na kwake PIA.,plus am single natamani nijiweke..but rafiki yake ambae Ni Mfanyakazi mwenzangu anasema Girl anatumia Dawa..sijui nifanyaje..naombeni ushauri..,sometimes nahisi kama Ana wivu ananitisha..mazee nijiweke au nikaushe??
Njia pekee ya kujua ni mkapime. No other way
 
mkubwa deal hill watu wenye UKIMWI wanatafutwa USA .wnatak kutumia virus vyao kwaajili yakuundia mabomu
 
serekali ilisema 2018 inaleta dawa ya ukimwi ww piga tu mwaka huu dawa inakuja
 
Back
Top Bottom