Kuvaa vibaya na ukimwi

Kuvaa vibaya na ukimwi

Tunaelekea kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani so tarajieni nyuzi nyingi kama hizi mpaka ifikapo tarehe 1 December, 2019
 
Waliopo JF ndio hao hao wa mitaani...

JF inaunganisha tu watu wenye intaneti wenye utashi wa kutumia majukwaa ya mtandaoni...
 
Siku unajikaza tu unaenda kupima, baada ya kupata uhakika wa afya yako sasa kabla hujakutana na mtu mnapima afya maana utakua unajiamin n itakuepusha kupata maambukizi.
Yawezakana pia yaweza kutowezekana, maana waweza kujua afya yako lakini ukakutana na mtoto mkali ukauza GAME chief. Mambo ya kupima pima tena kabla ya "game" ukayasahau na kuyaweka kapuni!

Maana si unajua morale ya "game" tena haswa ikiwa karibu karibu, mambo yote husahaulika.
 
Haya mambo wana JF wanachukulia poa sana, ila mnaweza mkashangaa yule member wa jana aliochanganyikiwa (baada ya priscilla kumwaga mtama kwenye kuku wengi ameungua), dishi liliyumba leo mnaweza kushangaa ukaanzishwa uzi amefanya maamuzi magumu.

Acheni kuanzisha thread za kujaza watu taharuki na kuwachanganya. Mtatuua na presha. Maana ule uzi wa jamaa jana nlivoanza kuusoma uzi wake kwa jinsi alivyochanganyikiwa, moyo ulisimama kama dakika mbili mpaka jasho lilinitoka kwa uoga (Japo sijawahi kumkaza demu yoyote JF, na sio player), nikatazama kama nyuma/pembeni yangu kama kuna mtu anainicheki.

Noma sana aise
 
Sijajua labda ni kwenda na wakati au speed ya mzunguko wa dunia imekuwa kubwa zaidi.kwa sasa si jambo la kushangaza mpo kwenye group flani humo ndan kuna msichana wanaume watano au zaidi mmemla.

Na bidada wala haoni aibu kusema "baby we unanitumia vizuri siyo kama Ugoko...yeye dk 5 tu kachoka"

Huyo ugoko upo naye kwenye group nawe unatabasamu kuwa ni kidume kuliko ugoko.

Tabia hii ipo JF watu wanaita kuzungusha bakuli.umewahi kwenda kilabuni?wana pombe zao zinakuwa kwenye mabakuli makubwa.anakunywa mmoja anampa mwenzie naye anazungusha zungusha anakunywa na mpasia mwenzie.

Nakumbuka watu washawah gombana humu kugombea wanawake.mimi binafsi nmewahi onana na wanawake wa humu zaidi ya kumi. Asilimia 30 nlionana nao na nikagundua wana akili.

Asilimia 70 ni hopeless women.hawa ni vimeo ambao watu wanapasiana humu ndani. Wanazungusha bakuli.

Ndugu zanguni.Ukimwi upo na unaendelea kuua.haujaacha.na usimpime mtu kwa macho. Kama unapenda sana kwenda pekupeku hakikisha umeiandaa K sana iwe imeloana na upige mashine.

Lakini why risk?achana na hayo mambo ndugu yangu.ukishindwa kuna zile condoms nlitangaza kipindi flani.

Inawezekana mwaka 2030 senior members wasiwepo.wengi watakuwa hoi vitandani kwa Ngoma au wameshaaga dunia.maana humu ndani kuna tabia ya kupasiana mademu sana.kuna namba kila mara zinatajwa humu.

Hata zikibadili IDs mwandiko unabaki ni ule ule.hizo nazifahamu hutuma hata picha za uchi kushawishi wanaume.mi naongea ili msije sema hamkuambiwa.isiwe unafanya mambo yako ukidhani upo peke yako.

"Samaki ana mengi ya kusema tatizo mdomoni kumejaa maji"
 
Nimekua msomaji mzuri tuu wa JF, lakn siku mbili hizi kumekua na threads kibao zinazoongelea kuhusu members wa hapa kuungana kwenye grid ya taifa "kupeana miwaya" kwa makusudi.

hivi ni kweli?? Maana naona wake kwa waume wanaweka hadi picha zao zinazoonyesha majibu ya vipimo kua wako salama! bora sikua na wazo LA kuwa na mwanamke katika mtandao huu, wote walioungwa na grid ya taifa nawapa pole sana ndio wajifunze kua mitandaoni kumeoza.

MUNGU AZILAZE ROHO ZAO MAHALA PEMA PEPONI HUKO WATAKAPOENDA
Ahahahahahah jamaa unawalaza Pema Peponi kabla hawajafa
 
Waliopo JF ndio hao hao wa mitaani...

JF inaunganisha tu watu wenye intaneti wenye utashi wa kutumia majukwaa ya mtandaoni...
Hivi utamfananisha vip mwanamke nnaeish nae mtaa mmoja, najua mienendo yake, hata kama siijui vizuri wapo watu wake wa karibu wa kuwauliza, utafananisha na hawa wa mtandaoni ambao mnakutana tuu hunachochote unachojua kuhusu yeye??? Jipeni tuu moyo, kwa style hii mtaendelea kupeana sana ukimwi humu ndan
 
Juzi Kati jmosi nimekula Mke wa mtu ile nataka kuingiza kaulizia Ndom. Sasa kasisitiza anaogopa asiambukizwe anawapenda watoto wake mie nikachovya huku namuuliza "kwani unao"? Akajibu 'je Kama wewe unao nitajuaje?" Nikazamisha mkuyenge Tena kwa shida ilikuwa kavu maana nilitaka asijebadili mawazo.. baadae alilainika nikajilia taratiiibuu..

Ni rahisi Sana Mke kukuletea Virus home.. imagine ningekuwa mwathirika je?

Wanandoa timizeni haja za wake zenu! La sivyo tutawasaidia kuwa"shape" ki Mshana Jr !
 
NASHANGAA SANA KUSIKIA ETI MAVAZI FULANI YA WANAWAKE HUCHANGIA KUONGEZA MAAMBUKIZI YA hiv. HIVI WANAWAKE KUKAA VIBAYA AU KUVAA VIBAYA INAWAHUSU NINI NYIE WANAUMEWA KIAFRIKA?
MBONA WAZUNGU WAO SIO SHIDA
MIMI NAAMINI MWANAMME KUNTAMANI MWANAMKE KWA VILE AMEONA NYETI AU AMEVAA NGUO ZA KUTAMANISHA ILE HALI HATA MWANAKE HUYO HATA HAMJUI LAZMA NI CHIZI. KWANI NJAA INAUMA WAKATI UMEONA MENU? KWANINI TUSIWAZE KUNYWA BAADA YA KUONA RANGI YA LAGER?
Mimi mwanamke wakiafrika cpendi kabisa avae nguo inayoonesha mistari yagoti lake..nishukuru ustarabu ninao..chumba kimoja ningejaza kondom
 
Soma vizuri nilichoandika mkuu

Kuna namna nyingi tu watu wanapatana mtaani na wala hawajuani nyuma zao "backgrounds"


Hivi utamfananisha vip mwanamke nnaeish nae mtaa mmoja, najua mienendo yake, hata kama siijui vizuri wapo watu wake wa karibu wa kuwauliza, utafananisha na hawa wa mtandaoni ambao mnakutana tuu hunachochote unachojua kuhusu yeye??? Jipeni tuu moyo, kwa style hii mtaendelea kupeana sana ukimwi humu ndan
 
Yawezakana pia yaweza kutowezekana, maana waweza kujua afya yako lakini ukakutana na mtoto mkali ukauza GAME chief. Mambo ya kupima pima tena kabla ya "game" ukayasahau na kuyaweka kapuni!

Maana si unajua morale ya "game" tena haswa ikiwa karibu karibu, mambo yote husahaulika.
Hahahaaa ila ukiwa muoga wa kuugua bas utakua makin sana no matter the condition
 
Hivi utamfananisha vip mwanamke nnaeish nae mtaa mmoja, najua mienendo yake, hata kama siijui vizuri wapo watu wake wa karibu wa kuwauliza, utafananisha na hawa wa mtandaoni ambao mnakutana tuu hunachochote unachojua kuhusu yeye??? Jipeni tuu moyo, kwa style hii mtaendelea kupeana sana ukimwi humu ndan
Wa mtandaoni ni walewale wa mtaani wenye smartphone af kumbuka ukimwi kuupata sio hadi mtu awe mhuni, unaweza kujitunza vema then ukakutana na mtu mmoja na hapo hapo akakuambukiza. So sio ishu ya kufrahia hii, la muhimu ni kuwa tu makin na usimnyooshee kidole aliyeathirika maana hujui kesho yako mkuu
 
Back
Top Bottom