Kutuma picha za utupu/uchi kwa mpenzi

Kutuma picha za utupu/uchi kwa mpenzi

Sana tu mkuu, Nancy Mitikiso ulikuwa unaona watu wanavyojifunza kulana tyako, I used to watch porn once in a while though.
Kutokuruka stage kuna umuhimu wake Sana tu muhimu ni tusibebwe na "mafuriko" ya stage Fulani. [emoji28] [emoji28] [emoji28] nami niliwahi kuwa muhudhuriaji kule. Yapo -/+ yakujifunza kule.
 
Kama sio mtu wa neno la Mungu huwezi jua nilichokisema, ila narudia tu kusema kuwa kutuma picha za utupu ni pepo haijalishi unayetumiana naye ni mkeo au la

Sent using Jamii Forums mobile app
Unapokuwa "mtu wa Neno la Mungu" yafaa kuwa msaada kwa wengine wenye kiu ya kujifunza habari za Neno Hilo.


Kwa lugha nyepesi kabisa tusaidie kujua ni kwa vipi ni PEPO watu kutumiana picha za utupu za wenzi wao?
 
Unapokuwa "mtu wa Neno la Mungu" yafaa kuwa msaada kwa wengine wenye kiu ya kujifunza habari za Neno Hilo.


Kwa lugha nyepesi kabisa tusaidie kujua ni kwa vipi ni PEPO watu kutumiana picha za utupu za wenzi wao?
Kila kitu kinajengwa kwenye akili/ubongo. Hakuna kitu kama pepo hata siku moja, siku hizi watu wana pepo wa ngono, wizi, usaliti etc. Hili neno limekuja baada ya ulokole kushamiri.
 
Unapokuwa "mtu wa Neno la Mungu" yafaa kuwa msaada kwa wengine wenye kiu ya kujifunza habari za Neno Hilo.


Kwa lugha nyepesi kabisa tusaidie kujua ni kwa vipi ni PEPO watu kutumiana picha za utupu za wenzi wao?
Kila kitu kinajengwa kwenye akili/ubongo. Hakuna kitu kama pepo hata siku moja, siku hizi watu wana pepo wa ngono, wizi, usaliti etc. Hili neno limekuja baada ya ulokole kushamiri.
 
Katika vitu ambavyo cjawahi kuwaza kufanya ni pamoja na hili,.ukiona my PP live wakati wa mgegedo inatosha kama utakuwa na shida ya picha baadae bora ukariri jinsi ulivyo kabisaaa kabla hujasepa,.tena wanaume utawasikia "usitume full picture we tuma tuu nusu..." Weeee weee Wangu wangu tuu hata kama uko nusu kesho niukute fb cjui insta si ntapata sonona hata kama sura haipo....hehehe situmi na siji kutuma ng'ooooo tena nikiona mwanaume king'ang'anizi naku downloadia Google then nakutumia kiroho safii [emoji12] [emoji12] uufurahie...mfyuu.

Dawa sio kutokutuma bali kutokupiga kabisa.
 
Mpaka sas hv hmna hata picha 1 huu uzi hauna maana [emoji41][emoji41][emoji41][emoji54][emoji54][emoji54]

Sent from my Android phone
 
Back
Top Bottom