Teh teh..Sawa best..
Zamani ehhee??..Yeah..Nishafanya
Winner..Jamaa kaelezea hapo uzuriHahaha! Ukitumiwa unajisikiaje sasa!???
Au unaifanyia nini???
Zaidi ya kifua..Sijawahi
[emoji13]Katika vitu ambavyo cjawahi kuwaza kufanya ni pamoja na hili,.ukiona my PP live wakati wa mgegedo inatosha kama utakuwa na shida ya picha baadae bora ukariri jinsi ulivyo kabisaaa kabla hujasepa,.tena wanaume utawasikia "usitume full picture we tuma tuu nusu..." Weeee weee Wangu wangu tuu hata kama uko nusu kesho niukute fb cjui insta si ntapata sonona hata kama sura haipo....hehehe situmi na siji kutuma ng'ooooo tena nikiona mwanaume king'ang'anizi naku downloadia Google then nakutumia kiroho safii [emoji12] [emoji12] uufurahie...mfyuu.
Jambo la kusikitisha sana, japo kwa hali ya sasa ndio linaongezekaJanga tena janga, ila wengi naona wanahisi ni sawa tu kufanya hivyo.
Ndio hivyo mkuu,kama siwezi kutuma nawezaje kujipiga picha na kuzisave ili iweje?aone nani na kwa mantiki ipi? Ni kukosa maarifa tuu.Dawa sio kutokutuma bali kutokupiga kabisa.
Mkuu kuna sehemu za siri nyingi kama vile kabatini zinapokaa pesa, unapoweka ATM card, zinapokaa hati zako mbalimbali etc.anayetaka nimtumie picha za sehemu zangu za siri aniambie
Nitumie japo kiduchu nikimaliza kuangalia nafutaKatika vitu ambavyo cjawahi kuwaza kufanya ni pamoja na hili,.ukiona my PP live wakati wa mgegedo inatosha kama utakuwa na shida ya picha baadae bora ukariri jinsi ulivyo kabisaaa kabla hujasepa,.tena wanaume utawasikia "usitume full picture we tuma tuu nusu..." Weeee weee Wangu wangu tuu hata kama uko nusu kesho niukute fb cjui insta si ntapata sonona hata kama sura haipo....hehehe situmi na siji kutuma ng'ooooo tena nikiona mwanaume king'ang'anizi naku downloadia Google then nakutumia kiroho safii [emoji12] [emoji12] uufurahie...mfyuu.