Kutuma picha za utupu/uchi kwa mpenzi

Kutuma picha za utupu/uchi kwa mpenzi

ERoni

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2013
Posts
55,126
Reaction score
129,196
Morning good people!

Inawezekana umewahi kujiuliza mara moja, kwa nini boyfriend/girlfriend wangu anataka picha zangu za uchi/utupu? Hizo picha huwa anazifanyia kitu gani na zina faida gani katika kuboresha mahusiano yenu?

Je, wanaume tunapata nini tunapoomba na kutumiwa picha za utupu?
»Winners, tunaamini kuwa washindi, kwamba hadi ameamua kuvua kyupi na kutuma utupu wake, basi amezimika haswa kwako.
»Silaha, hizi picha zinaweza kuwa silaha kwa mwanaume wakati mkifarakana, anaweza kukutishia lolote na mwanamke ukatii just coz he's got pics of your nudity.
»Kujiridhisha, wengine hutumia utupu wa wapenzi wao kufanya masturbation.

Trend ya kutuma picha za utupu imeongezeka kwa kasi, hasa baada ya wengi wetu kuweza kumiliki smartphones, watu hutuma picha zao za kifua, tako, punani na watu wanatuma kabisa a shaved p!ssy/d!ck.

Lakini tujue kuwa;
»Kutuma picha za utupu sio salama, hakuna "100% privacy" katika ulimwengu wa kidijitali. Kuna hackers wengi siku hizi teknolojia inapanuka kila siku, kuna kuachana na kulipiana visasi, tuwe makini.

Wanaume tulivyo wajanja, anasema tu "nikimaliza kuangalia nitazifuta", wanawake msidanganywe, huwa hzifutwi.

Tusiwe malimbukeni wa teknolojia, tutumie teknolojia kwa faida.

Je, umewahi kutuma/kutumiwa picha za utupu? Unajisikiaje leo ukikumbuka zile picha zako ulizomtumia ex gf/bf? Naamini katika hili wengi tu wahanga
 
Katika vitu ambavyo cjawahi kuwaza kufanya ni pamoja na hili,.ukiona my PP live wakati wa mgegedo inatosha kama utakuwa na shida ya picha baadae bora ukariri jinsi ulivyo kabisaaa kabla hujasepa,.tena wanaume utawasikia "usitume full picture we tuma tuu nusu..." Weeee weee Wangu wangu tuu hata kama uko nusu kesho niukute fb cjui insta si ntapata sonona hata kama sura haipo....hehehe situmi na siji kutuma ng'ooooo tena nikiona mwanaume king'ang'anizi naku downloadia Google then nakutumia kiroho safii [emoji12] [emoji12] uufurahie...mfyuu.
 
Hamna mtu ni bingwa wa maisha. Kama wee hutaki usitume wewe basi. Umeshindwa kwenda kuwaambia wenzako waache kujiuza kona baar na kimboka unakuja kuwaonea wenzako wivu hapa.

Hakika hakuna binges wa maisha, ndio maana tunakumbushana. Sionei mtu wivu mkuu, sina sababu za kumwonea mtu wivu lakini nina sababu za kumshauri mtu pale ninapoona inafaa.
 
Hakika hakuna binges wa maisha, ndio maana tunakumbushana. Sionei mtu wivu mkuu, sina sababu za kumwonea mtu wivu lakini nina sababu za kumshauri mtu pale ninapoona inafaa.
Kuhusu wenzako wanaojiuza unawasaidiaje
 
Back
Top Bottom