Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,370
- 30,009
Eli79 Uko sahih kabisa mkuu unachokisema especially kwa dunia ya sasa ya mitanadon ila ninachoamin katika huu uzi kila mmoja wetu atasema hajawah kutuma au kutumiwa na ndio maana nkasema may be sie member wa JF hatuko kwenye hii Dunia ya sasa hviBonny, sijasema kuwa I'm all innocent katika hili, tunakumbushana tu mkuu. Utajisikiaje mwanao wa kike picha zake zimezagaa mitandaoni akionekana sura na utupu wake?
Back to the question sio binti yangu tu mie mwenyewe nikija kuona picha ya mtu ninae fahamiana nae ntajiskia aibu ila tusikwepe tu ukwel kwamba we dont do that while we do, la msing kuwa muangalifu na ikiwezekana acha kabisa maana whatever stay in internent stays forever.