Kutuma picha za utupu/uchi kwa mpenzi

Kutuma picha za utupu/uchi kwa mpenzi

Nimewahi kutuma mkuu, long time wakati skype inapiga mzigo Ile video call nilikuwa nachat live na kimwana...lol.

Hapa tunaongelea uhalisia MBITIYAZA, sio kufurahishana.


sasa kwann unataka kuegemea upande mmoja wa mke wa mtu kutuma pic ya utupu kwa mchepuko wake!nadhan na ww ulikua unatafta hisia! na yy pia ni mpenz wake anatafuta hisia! acha kufukua makaburi bwana!unamuumiza tu yule mshikaji!
 
Uzuri wa "Watakatifu" wa Jf wengi wetu tutasema hatufanyi hivyo kisha kila mmoja atalaani na kukemea tabia hiyo.[emoji23][emoji23][emoji23]

Binafsi nimewahi kutuma na kutumiwa Sana tu zamani za ushamba wangu wa digital na ulimwengu wa smart phone.


Hata sasa nikitumiwa "nafuta" instantly nimalizapo kuangalia. Najitahidi kulinda privacy ya aliyetuma.
Wewe umeongea ukweli mtu.mimi pia natuma na ninatumiwa ila ninachofanya ni kuzifuta mda baada ya kumaliza haja yangu.simu ni yangu msinipangie cha kufanya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unauogopa kuuangalia wakati wa ku do huogopi
It's weird bwana, my own wife nimuombe uchi wake then naufanyia nini, nikipoteza simu nitalinda vipi heshima yake??
 
Ikinilazimu kufanya hivyo siachi ushahidi nakula "live" [emoji4] video calls nazipongeza.


Ni utoto/ushamba/Upumbavu wa kiwango cha juu mno kwa sababu zozote zile kuvujisha picha/video za faragha za mtu aliyekuamini.
Kabisa na ni umbulula uliopitiliza
 
sasa kwann unataka kuegemea upande mmoja wa mke wa mtu kutuma pic ya utupu kwa mchepuko wake!nadhan na ww ulikua unatafta hisia! na yy pia ni mpenz wake anatafuta hisia! acha kufukua makaburi bwana!unamuumiza tu yule mshikaji!
Gosh, you must be sick. Hii post haimlengi mtu, it's common sense watu wanatumiana picha za uchi, watu wanaongea live whatsapp na skype. I'm not attacking no one here. Kwa hiyo tusiongee coz kuna mtu anaumia, hivi hujui kuwa wapo kibao wanaumia kwa siri kwa vile they've done it before na wanaona ilikuwa wrong?
 
It's weird bwana, my own wife nimuombe uchi wake then naufanyia nini, nikipoteza simu nitalinda vipi heshima yake??
Cha muhimu afiche sura yake apige nyapu tuu kwani ww unataka sura ya nini? Halafu ikipotea atakaejua huo uchi ni wa mkeo nani? Hapa na mm nazungumzia kuwekana karibu kifikra usimwaze mwingine kama Toxic alivyosema hasa ukiwa mbali
 
Ndio uzuri wa threads, sio lazima kukubaliana na mtu, ila lazima yasemwe, ila kama jamaa hapendi duh shauri yake, wengine muhimu..
Wewe unelewa maana ya kulumbana..we're just arguing here, watu wanadhani namlenga mtu fulani.
 
At least inaonyesha mwenzio anakukumbuka anavushia kwenye mwili wako na hajaomba uchi wa mwanamke mwingine. Hapa mimi nazungumzia mke na mume
Kabisa sasa ndiyo nashangaa ubaya upo wapi kuomba kapicha au dirty video call ina tatizo gani..... Kwa hili nitatofautiana na wengi acha nipite njia ya peke yangu ingawa najua nipo right na mawazo yangu.... Mimi akitaka namtumia na yeye anatuma..... Trust is what worth the relationship
 
UMEPATIA KOOOOTE UMEKUJA HARIBU KWENYE USHAURI ACHA HIZO MANIAJE AISEE..AS LONG AS ANAVYOKUTUMIA MWAMBIE ASIWEKE SURA THE REST ACHA TU ZIPITE...MI NDO UGONJWA WANGU
Hahaha, ugonjwa wako sio, haya mkuu.
 
Back
Top Bottom