mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,920
Mimi kizee huwa hawaniombagiVipi wewe unawatumia-ga wasupuu?
Mimi kizee huwa hawaniombagiVipi wewe unawatumia-ga wasupuu?
Shetani ana mbinu nyingi za kututeka, anaangalia wapi ulipo udhaifu na kuutumia kututeka, unajua unaweza dhania picha hiyo ni ya huyo mkeo/mpz kumbe ni ya jini, wewe ukafurahia, ukasisimka na kumaliza haja zako kumbe upo na jini, kuna watu wanafanya mapenzi na majini wakifikiri ni wake zao tena kwa miaka kadhaa bila kujua na wakiendelea kuishi kwenye ndoa na kujiona waaminifu kabisa, lakini hili ninaloliongea kwa mtu wa kawaida sio rahisi kuelewa labda apate mafundisho au mafunuoHow Mkuu? yet I trust you.
Hebu tusaidie elimu ili tupate uelewa wa pamoja.
Nimekuelewa sana na hii point...Kila kitu kinajengwa kwenye akili/ubongo. Hakuna kitu kama pepo hata siku moja, siku hizi watu wana pepo wa ngono, wizi, usaliti etc. Hili neno limekuja baada ya ulokole kushamiri.
Nimeshaeleza mkuu pepo lina tabia ya kubadilisha kitu halisi kuwa feki, yaani linaingia kwenye ile picha/video na likafanya uifurahie ukidhani ni halisi kumbe lenyewe, matokeo yake utakuwa mtumwa wa hizi picha, kila wakati utatamani uzioneUnapokuwa "mtu wa Neno la Mungu" yafaa kuwa msaada kwa wengine wenye kiu ya kujifunza habari za Neno Hilo.
Kwa lugha nyepesi kabisa tusaidie kujua ni kwa vipi ni PEPO watu kutumiana picha za utupu za wenzi wao?
Umenena kwa lugha...chukua tanoUnapokuwa "mtu wa Neno la Mungu" yafaa kuwa msaada kwa wengine wenye kiu ya kujifunza habari za Neno Hilo.
Kwa lugha nyepesi kabisa tusaidie kujua ni kwa vipi ni PEPO watu kutumiana picha za utupu za wenzi wao?
Hahaha... Selfie za utupu za nini wakati tunaoga pamoja... Nakupakaa mafuta mwenyewe... Nakusugua mwenywe... Nakunyoa mwenywe...
na wew huwa anakupakaa?Hahaha... Selfie za utupu za nini wakati tunaoga pamoja... Nakupakaa mafuta mwenyewe... Nakusugua mwenywe... Nakunyoa mwenywe...
My king my king mzio nipo kazini ujue nishaanza kubana bana miguu huku. Usinikumbushe Smart911 wangu jamani uwiii!! [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]Hahaha... Selfie za utupu za nini wakati tunaoga pamoja... Nakupakaa mafuta mwenyewe... Nakusugua mwenywe... Nakunyoa mwenywe...
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Uzuri wa "Watakatifu" wa Jf wengi wetu tutasema hatufanyi hivyo kisha kila mmoja atalaani na kukemea tabia hiyo.[emoji23][emoji23][emoji23]
Binafsi nimewahi kutuma na kutumiwa Sana tu zamani za ushamba wangu wa digital na ulimwengu wa smart phone.
Hata sasa nikitumiwa "nafuta" instantly nimalizapo kuangalia. Najitahidi kulinda privacy ya aliyetuma.
Ameen..Mwenyezi Mungu atusaidie kuishi maisha yanayomtukuza.
Kwa nini tena swahiba?Hivi JF members ni wa kutoka Mars enhee?
Umwahi kutuma?
Kila mtu humu atasema hajawah kutumaKwa nini tena swahiba?