Halafu hiki kijamaa Chinembe hakina kaz. Kaz yake mitandaoni. Halafu kinaanzisha thread, nyepesi za kitoto tu. Hii ni thread ya tano kuhusu makonda. Yaan ni nyumbu kweli kweli. Upstairs zero.Ac
Acha unyumbu wewe, hii ni ramli chonganishi, Makonda siyo mjinga kiasi hicho
Chinembe ni kada mtiifu wa CCM,ndiyo mjue kuwa huko CCM kuna ufa mkubwa sanaHalafu hiki kijamaa Chinembe hakina kaz. Kaz yake mitandaoni. Halafu kinaanzisha thread, nyepesi za kitoto tu. Hii ni thread ya tano kuhusu makonda. Yaan ni nyumbu kweli kweli. Upstairs zero.
Ni chawa tu wa, watu fulani,hana ukada wowote. Hata kadi sijui kama anayo.Chinembe ni kada mtiifu wa CCM,ndiyo mjue kuwa huko CCM kuna ufa mkubwa sana
Wewe Magu bwanake mkubwa hayupo! Huyo ni mlenda tu! kwa Rchuga stay tuned!Kwani arusha kuna nini asichoweza kufanya makonda! Wenye kibri na jeuri na majizi+matapeli atawanyoosha tu
Hilo lilijulikana mapema na liko Kimkakati. Kuna sehemu kule ngambo zimejengwa hoteli nyingi za kitalii zimekosa watu. Kufa kufaana,ikifa au kuvurugika Arusha imefikiriwa watalii watavukia ngambo hiyo. Hata Wanyama walishatangulizwa huko.Tushapoteza Watalii tayari , Kwaheri Royo Tuwa !
Wewe Magu bwanake mkubwa hayupo! Huyo ni mlenda tu! kwa Rchuga stay tuned!
Uzuri hakuna "wala mdondo" (aka mabasha) kama dar! Itambidi ampelekee GSM kila weekend! Ushoga wake hauna bei huku. No kweli eti anataka kumuua mdogo wa bwanake? kwani vp?Rchuga ndio nini sasa😁 kama dar ameweza ndio jiji la kwanza kwa ukubwa ikifuatiwa na Mwanza, sembuse ki arusha kwel! Hao wala unga na wazurulaji wasio na makazi watamfanya nini!
No kweli eti anataka kumuua mdogo wa bwanake? kwani vp?