FMES,
..suala hili likiachwa limalizwe ndani ya Chama/CCM ukweli hautajulikana.
..kama kuna "kideo" kinachomuonyesha Chenge akinyunyiza hivyo vitu basi mjadala huu utasonga mbele vizuri zaidi kuliko ilivyo sasa hivi.
..mimi nilifikiri mimi na wewe tuko upande mmoja, kwamba tunataka UKWELI usioruhusu mabishano ktk suala hili. ukweli huo ni "KIDEO" kinachomuonyesha Chenge na Ofisa wa Bunge.
..suala hili ni zito na wananchi tunahitaji ushahidi kamili na usiopingika/usio na mashaka ili kuchukua hatua zinazostahili.
..nimeuliza ni wabunge wepi wengine ambao viti vyao vilimwagiwa "vitu"? kwanini hao hawajulikani? ningependa kujua hali zao zinaendelea vipi tangu hiyo jumatatu? i thought that is a fair and reasonable question.
NB:
..hakuna mahali ambapo nimehoji nia yako hapa JamboForums. mimi wakati wote naangalia facts siangalii nia/motives.
..hivi Spika ndiye mwenye camera/tapes? kwanini magazeti hayamhoji yule mwenye access na cameras? kwani habari hii mtu wa kwanza kuitoa si ni cameraman?
..suala hili likiachwa limalizwe ndani ya Chama/CCM ukweli hautajulikana.
..kama kuna "kideo" kinachomuonyesha Chenge akinyunyiza hivyo vitu basi mjadala huu utasonga mbele vizuri zaidi kuliko ilivyo sasa hivi.
..mimi nilifikiri mimi na wewe tuko upande mmoja, kwamba tunataka UKWELI usioruhusu mabishano ktk suala hili. ukweli huo ni "KIDEO" kinachomuonyesha Chenge na Ofisa wa Bunge.
..suala hili ni zito na wananchi tunahitaji ushahidi kamili na usiopingika/usio na mashaka ili kuchukua hatua zinazostahili.
..nimeuliza ni wabunge wepi wengine ambao viti vyao vilimwagiwa "vitu"? kwanini hao hawajulikani? ningependa kujua hali zao zinaendelea vipi tangu hiyo jumatatu? i thought that is a fair and reasonable question.
NB:
..hakuna mahali ambapo nimehoji nia yako hapa JamboForums. mimi wakati wote naangalia facts siangalii nia/motives.
..hivi Spika ndiye mwenye camera/tapes? kwanini magazeti hayamhoji yule mwenye access na cameras? kwani habari hii mtu wa kwanza kuitoa si ni cameraman?