Jibu sahihi hili hapa.
Kila kiumbe kina kusudi la ki Design.
Haya umeumba Dunia ina mazingira.
Kuna nyasi zinazo kua bila kukatika zenyewe...kuweka mambo sawa unaumba wanyama wanaokula nyasi na majani.Wanyama kama swala,nyati,sungura nk.Hawa wanasaidia kupunguza nyasi maeneo mbali mbali duniani.
Kuna wanyama wengine kusudi lao duniani ni kupunguza idadi ya wanyama wengine...mfano simba kuwinda swala.Hadi wadudu hula wadudu wengine.
KUSUDI LA BINADAMU DUNIANI NI KUSIMAMIA VYOTE.KUTIBU WANYAMA,KULINDA MAZINGIRA ,KUFANYA DUNIA IWE NA MAANA MACHONI PA MUNGU nk.
Hali ya Leo ...watu kuwa bize na maisha ni kutokana na muundo wa jamii hasa serikali.Halikuwa kusudi la mungu .