Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,939
- 61,732
Ni kuwepo duniani ili kutafuta hela, kushindana au ni kuwepo duniani ili tuishi?
Nimejaribu kufanya utafiti mdogo na kugundua kuwa, watu wengi wanatumia nguvu kubwa ya kutafuta hela, vyeo, kushindana ukubwa, wingi wa mali n.k; sasa nikawa najiuliza hawa kweli wanajua kusudi la kuwepo duniani?
Mimi nipo zangu hapa kijijini nimejilalia kwenye kitanda changu cha ngozi ya fisi, huku nikisikiliza milio mbalimbali ya ndege pamoja na kutukuza sifa na uumbaji wa Mungu.
Kwa mazingira haya naona kabisa, mimi ninaishi.
Je wewe, unafikiri kusudi la uwepo wako hapa duniani ni kufanya unacho kifanya?
Nimejaribu kufanya utafiti mdogo na kugundua kuwa, watu wengi wanatumia nguvu kubwa ya kutafuta hela, vyeo, kushindana ukubwa, wingi wa mali n.k; sasa nikawa najiuliza hawa kweli wanajua kusudi la kuwepo duniani?
Mimi nipo zangu hapa kijijini nimejilalia kwenye kitanda changu cha ngozi ya fisi, huku nikisikiliza milio mbalimbali ya ndege pamoja na kutukuza sifa na uumbaji wa Mungu.
Kwa mazingira haya naona kabisa, mimi ninaishi.
Je wewe, unafikiri kusudi la uwepo wako hapa duniani ni kufanya unacho kifanya?