Kusudi kubwa la kuja duniani ni kujua utakufa ukiwa na msimamoupi?/ ukisimamia kusudi lipi?ukisimami hatima ipi hapa duniani na milele.Hiyo ndiyo inaitwa kujitambua na kutambua kusudi lako la kuishi hapa duniani.
Mifano...
1)TINDU LISU anajua kusudi lake la yeye kuja hapa duniani amejitambua anaju ni msimamo upi na kusudi lipi atalisimamia hapa duniani milele mpaka kifo.
2)YESU KRISTO mitume na manabii walijua kusudi la maisha yao hapa duniani na walisimamia imani yao na kuishi .kuyaishi makusudi ya maisha yao hapa duniani na milele.
3)CHE GUAVARA,NYERERE,PATRICK LUMUMBA,SAMORA MACHELE,..MOUMAR GADAFI hawa walijua kusudi la maisha yao hapa duniani na wali ishi maisha yao katika KILE WANACHOKIAMINI hata mpaka kufa
wengine ni POLE POLE ,MDUDE NYANGALI N.K
unaweza ukadhani wamekufa ila HAWAJAFA hawa ni washindi waliishi maisha yao katika kile wanachokiamini kwa gharama ya maisha yao waliishi katika kusudi laoo la maisha yao bila kuyumba wala kutetereka mpaka last drop of their blood and last breath,,hivyo bado WANAISHI mpaka leo japo kimwili walikufa mara MOJA TU/siku moja tu..ni kujua ulizaliwa mara moja tu/siku moja tu na utakufa mara moja tu siku moja tu
HALAFU KUNA HAWA
1)MACHAWA coward wasaliti akina YUDA wanafiki ,bendera fuata upepo ,wasiokuwa na msimamo wanaojiuza utu wao kwa vipande vya fedha na kuwauza wenzao,kuwachomesha kuwalengesha wauwawe WASALITI ,MACHAWA wanaosifia maovu,WANAO WAABUDU NA KUWALAMBA MATAKO wanasiasa na watawala,WASIOKUWA NA MSIMAMO ,wanaowasaliti familia zao ,watu wanao waamini ,wanajisaliti hata wai wenyewe WAMEIKANA IMANI YAO ,WAMEUZA UTU WAO wamejitoa ufahamu ,wamejitoa akili,wanajisiliti hata wenyewe imani zao,
HAWA WAMESHAKUFA INGALI WAPO HAI...ila ni wafu..wanaishi maisha MFU...FAKE...na wanakufa mara nyingi kila dakika ya maisha yao wanayoishi wakiwa wafu kila siku.