Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 74,366
- 183,353
Mapenzi yatakuua ujue!
Mapenzi yatakuua ujue!
Nani asiyependa kufanya mapenzi...Mapenzi yatakuua ujue!

MimiNani asiyependa kufanya mapenzi...![]()
Hahaha... Kama hupendi, ngoja nimasalimie pacha wako...Mimi
Leta majibuUnauliza kusudi la mwanadamu kuwepo duniani?
Sababu kuu ya wewe kuwepo duniani, au ni kutafuta hela na kufa?Kwanza kabisa, kusudi ni nini?
Maana ya kusudi ni nini?
Kwa hiyo hatuna tofauti na mbuzi wanavyoishi?Kwa ujumla maisha hayana maana wala kusudi lolote lile.
Binadamu ndio anaamua kusudi lake maishani ni lipi. Na huishi hivyo alivyo amua.
😏😏😏😏😏👽Hahaha... Kama hupendi, ngoja nimasalimie pacha wako...
Kuwawezesha watu kupata kulaKupiga kura.
Umeijaza kwa kiasi ganiTuitawale na kuijaza dunia
Kwa hiyo unamaanisha ni kukidhi uhitaji wa viumbe wengine?Ukitaka kujua kusudi la binadamu kuwepo duniani, tazama kile ambacho binadamu ana ki offer kwenye universe/ au kwenye nature. Binadamu ana offer hewa ya Carbon dioxide kwenye nature. So kusudi la binadamu kuwepo duniani ni kuzalisha hewa ya Carbon dioxide. Alie muumba binadamu na kumuweka duniani alimuumba kwa kazi moja kubwa nayo ni kuzalisha hewa ya carbon dioxide period.
Kati ya ulimwengu na sisi, kipi kilianza?Maisha hayana kusudi wala hakuna kusudi la kuishi duniani.
Sisi hatupo duniani au niseme uwepo wetu haupo duniani bali ulimwengu upo ndani yetu.
Sio kwamba sisi tunaishi ulimwenguni bali ulimwengu ndio upo kupitia sisi.
Inabidi upewe ukatekistaKatekisimu ya kanisa katoliki inatufundisha hivi.
Mungu katuleta duniani ili tufanye nini?
JIBU.
Mungu katuleta duniani ili,
1.Tumjue
2. Tumpende
3. Tumtumikie
4. Na mwisho tupate kufika kwake juu mbinguni.
Ipo mitazamo mingi, huo ni wako. Kila mmoja anao wake pia mkuu, na hakuna anaeweza kukosoa mwenzake kwamba hayupo sahihi.Ni kuwepo duniani ili kutafuta hela, kushindana au ni kuwepo duniani ili tuishi?
Nimejaribu kufanya utafiti mdogo na kugundua kuwa, watu wengi wanatumia nguvu kubwa ya kutafuta hela, vyeo, kushindana ukubwa, wingi wa mali n.k; sasa nikawa najiuliza hawa kweli wanajua kusudi la kuwepo duniani?
Mimi nipo zangu hapa kijijini nimejilalia kwenye kitanda changu cha ngozi ya fisi, huku nikisikiliza milio mbalimbali ya ndege pamoja na kutukuza sifa na uumbaji wa Mungu.
Kwa mazingira haya naona kabisa, mimi ninaishi.
Je wewe, unafikiri kusudi la uwepo wako hapa duniani ni kufanya unacho kifanya?
Inabidi uache uzao wa kutoshaKuzaliana na kufa