hizi pm sina hamu nazo....
Angel Nylon ROTFLMFAO!!!!Duuuh, hatari.
We ndo unaetoa ajira au unatafuta ajira?
Bila shaka imekugusamambo ya PM yabaki PM
Bila shaka imekugusa
mhhh aya bana nidanganye danganye tu,ukiniambia ukweli nitaumiaUko peke ako babe wangu isitie shaka!!.
Kuna mtu mnamsema tu hapa wabaya sana nyie anonymus.
mhhh aya bana nidanganye danganye tu,ukiniambia ukweli nitaumia
labda alikutana na kidume lol
pm unaweza hadi fanya cyber sex na kidume mwenzio ukidhani umeopoa bonge la mdada lol ...
Mkubwa mwenzangu, hoja tunajadili hapa hapa....Da Mkubwa na wewe unaendaga PM??
Mie nilidhani wakubwa wenzangu tunajadili hapa hapa kijiweni??
cc: Fixed Point
Babu DC!!
Hebu best kamu zis wei twenzetu....ndio fursa zenyewe hizi
Mkubwa mwenzangu, hoja tunajadili hapa hapa....
PM huwa tunaulizana hali za watoto.
siku atakayeniuliza nimevaa chupi gani (cc. The Boss) atakuwa amenikosea saanaaa
umeona kajiunga lini?
hizi pm alizitumia lini?
think nn think....
niliposema kunikosea sana ilijumuisha na adabu pamoja na mambo mengine.....Hujamalizia mkubwa mwenzangu...kukusea sana na kukusea adabu ni vitu viwili tofauti....
Kwetu sie wakubwa, hilo la pili ndiyo neno lenyewe......Adabu yetu tumeijenga kwa nguvu na raslimali nyingi sana ati!!
Babu DC!!