Kushinda kwenye PM

Kushinda kwenye PM

Kuna watu wanashangaza sana. Yaani mtu umejiweka invisible humu halafu huchangii kwa sana siku hizi lakini kila siku unashinda kwenye PM.....

Ama kweli facts sometimes are stranger than fiction.

Kila ukitokea mara chache chache watu wanakuuliza mbona umepotea hivyo....kumbe wapi! Upo kila siku lakini unashinda kwenye PM na yule nanii....:smile-big:

Kaazi kweli kweli.
huwa nakufagilia ila hyo signature yako inanichefua sana
 
duh!!! hii platfoam ya mambo ya mapenzi kumbe nayo ina wapenzi balaa! nimeamua nipite tu mara moja mana jf ni kama korokoro la kuvulia samaki wajinga wamo,welev,wenye akili nusu n.k. mimi huwa nashinda sana kwenye platfoam mbili tu NAFASI ZA KAZI NA AJIRA, NA ILE YA TECHNOLOJIA, NA MAMBO YOTE YA ICT KARIBUNI HUKO WADAU.......................................
..........................NAOMBA KUWASILISHA............................
 
Kuna mwingine huyo siku hizi anashinda sana PM na jamaa ambaye ana 'crush' naye tokea kitambo......

Watu wanadhani kapotea sana kumbe yupo.

Anamshindisha jamaa hadi usiku wa manane (maana wako mabara tofauti).

Yaani we acha tu.

habari za kidukuzi hizi...
 
dah hii thread yako utafanya wwatu wapate 'guilty conscious ' tele

kila mtu atajiuliza naongelewa mimi au? lol

kuna siku zamani hapa JF kuna mdada alinishindisha pm kutoka saa saba mchana hadi saa tatu usiku
yaani pm zake zinakuja tatu tatu duh lol
du!!! kamanda kumbe upo !!!! si mchezo haijakulenga kweli ulipotea kidogo
 
duh!!! hii platfoam ya mambo ya mapenzi kumbe nayo ina wapenzi balaa! nimeamua nipite tu mara moja mana jf ni kama korokoro la kuvulia samaki wajinga wamo,welev,wenye akili nusu n.k. mimi huwa nashinda sana kwenye platfoam mbili tu NAFASI ZA KAZI NA AJIRA, NA ILE YA TECHNOLOJIA, NA MAMBO YOTE YA ICT KARIBUNI HUKO WADAU.......................................
..........................NAOMBA KUWASILISHA............................

Samahani, hivi huwa mnacheza mechi huko?
 
duh!!! hii platfoam ya mambo ya mapenzi kumbe nayo ina wapenzi balaa! nimeamua nipite tu mara moja mana jf ni kama korokoro la kuvulia samaki wajinga wamo,welev,wenye akili nusu n.k. mimi huwa nashinda sana kwenye platfoam mbili tu NAFASI ZA KAZI NA AJIRA, NA ILE YA TECHNOLOJIA, NA MAMBO YOTE YA ICT KARIBUNI HUKO WADAU.......................................
..........................NAOMBA KUWASILISHA............................

Nenda kunakokuhusu katafute ajiira.
 
duh!!! hii platfoam ya mambo ya mapenzi kumbe nayo ina wapenzi balaa! nimeamua nipite tu mara moja mana jf ni kama korokoro la kuvulia samaki wajinga wamo,welev,wenye akili nusu n.k. mimi huwa nashinda sana kwenye platfoam mbili tu NAFASI ZA KAZI NA AJIRA, NA ILE YA TECHNOLOJIA, NA MAMBO YOTE YA ICT KARIBUNI HUKO WADAU.......................................
..........................NAOMBA KUWASILISHA............................

Duuuh, hatari.

We ndo unaetoa ajira au unatafuta ajira?
 
Back
Top Bottom