Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 10,297
- 21,699
hapo ujue ni mtego wa mtu hapo
ni member mzoefu labda anamtega mtu wake lol
Hapo chacha.
Mi ndo mana aitakagi ayo ma pm. Akaaaaa
hapo ujue ni mtego wa mtu hapo
ni member mzoefu labda anamtega mtu wake lol
huwa nakufagilia ila hyo signature yako inanichefua sanaKuna watu wanashangaza sana. Yaani mtu umejiweka invisible humu halafu huchangii kwa sana siku hizi lakini kila siku unashinda kwenye PM.....
Ama kweli facts sometimes are stranger than fiction.
Kila ukitokea mara chache chache watu wanakuuliza mbona umepotea hivyo....kumbe wapi! Upo kila siku lakini unashinda kwenye PM na yule nanii....:smile-big:
Kaazi kweli kweli.
Kuna mwingine huyo siku hizi anashinda sana PM na jamaa ambaye ana 'crush' naye tokea kitambo......
Watu wanadhani kapotea sana kumbe yupo.
Anamshindisha jamaa hadi usiku wa manane (maana wako mabara tofauti).
Yaani we acha tu.
huwa nakufagilia ila hyo signature yako inanichefua sana
unajua neno MIAFRIKA ni neno DHALILI sana kwa utu wetuAhsante kwa kunifagilia. Ila kwa nini signecha yangu inakuchefua sana?
du!!! kamanda kumbe upo !!!! si mchezo haijakulenga kweli ulipotea kidogodah hii thread yako utafanya wwatu wapate 'guilty conscious ' tele
kila mtu atajiuliza naongelewa mimi au? lol
kuna siku zamani hapa JF kuna mdada alinishindisha pm kutoka saa saba mchana hadi saa tatu usiku
yaani pm zake zinakuja tatu tatu duh lol
unajua neno MIAFRIKA ni neno DHALILI sana kwa utu wetu
Kwani wewe siyo Liafrika?
Mshaanza.
duh!!! hii platfoam ya mambo ya mapenzi kumbe nayo ina wapenzi balaa! nimeamua nipite tu mara moja mana jf ni kama korokoro la kuvulia samaki wajinga wamo,welev,wenye akili nusu n.k. mimi huwa nashinda sana kwenye platfoam mbili tu NAFASI ZA KAZI NA AJIRA, NA ILE YA TECHNOLOJIA, NA MAMBO YOTE YA ICT KARIBUNI HUKO WADAU.......................................
..........................NAOMBA KUWASILISHA............................
umeona kajiunga lini?
hizi pm alizitumia lini?
think nn think....
duh!!! hii platfoam ya mambo ya mapenzi kumbe nayo ina wapenzi balaa! nimeamua nipite tu mara moja mana jf ni kama korokoro la kuvulia samaki wajinga wamo,welev,wenye akili nusu n.k. mimi huwa nashinda sana kwenye platfoam mbili tu NAFASI ZA KAZI NA AJIRA, NA ILE YA TECHNOLOJIA, NA MAMBO YOTE YA ICT KARIBUNI HUKO WADAU.......................................
..........................NAOMBA KUWASILISHA............................
kubali kataa Miafrika Ndivyo Tulivyounajua neno MIAFRIKA ni neno DHALILI sana kwa utu wetu
Desperado is what you are. Romantic my foot!hahaaa!!! is being romantic a mistake?
come on girl!!
blow yourself to me!
unajua neno MIAFRIKA ni neno DHALILI sana kwa utu wetu
hahaaa!!! is being romantic a mistake?
come on girl!!
blow yourself to me!
duh!!! hii platfoam ya mambo ya mapenzi kumbe nayo ina wapenzi balaa! nimeamua nipite tu mara moja mana jf ni kama korokoro la kuvulia samaki wajinga wamo,welev,wenye akili nusu n.k. mimi huwa nashinda sana kwenye platfoam mbili tu NAFASI ZA KAZI NA AJIRA, NA ILE YA TECHNOLOJIA, NA MAMBO YOTE YA ICT KARIBUNI HUKO WADAU.......................................
..........................NAOMBA KUWASILISHA............................