Kushinda kwenye PM

Kushinda kwenye PM

mkuu mambo ya pm siku zote ni 'imaginations' tu
ndo maana watu wakishaonana hawashindi pm
so pm ni nzuri kama unapenda fantasies zaidi..

Zinakuwaje hizo mkuu??

Unatamani PM?

Kwa udadisi tu dada.....itakuwa vibaya??

He he he, huko ni watoto, wazee tuna vilinge vyetu.

Ngoja nimalizie kumkogesha zombie. Long tym no see u.

Halafu wewe....ulivyo na bahati mbaya...ni kama ng'ombe wa maskini ambaye siku zote hazai...

Hapa nilipo dakika nilizopewa zimeisha....

Babu DC!!
 
Kwani na wewe ni teja wa PM??

Nahisi kuna confessions za kufa mtu zitamwaga hapa leo hii...

Ngoja nikacheze na wajukuu kwanza..lol!!

Babu DC!!

Babu wala usiwe na kimuyemuye.

Kila kitu shwari kabisa na huu ujumbe nimeuweka kwa ikhlasi na si unyambi.
 
Naah, how can I be a wounded soldier when I wasn't warring with anyone? Think bruh....think.

It's just the way you brought this up, quite typical of an aggrieved person. And i guess i won't be offending if i dare said such sentiments can only come if not from a victim, then from a current or once upon time culprit.
 
muulize Smile huko ndo wadada wanaulizwa umevaa chupi rangi gani
we uko tayari kuulizwa haya?
kuna jamaa alinipm eti smile nipe no yako ya simu nikurushie laki tano ya wkend ! haya majaribu utayawezea wapi ndugu yangu
 
Babu wala usiwe na kimuyemuye.

Kila kitu shwari kabisa na huu ujumbe nimeuweka kwa ikhlasi na si unyambi.

Kamanda sasa wewe ndo unanifukuza kabisa...

Hapa nilikuwa nimeshikilia roho wewe na hao jamaa zako msianze kumwaga ile lugha inayotutesa wabongo...

Ndo sasa unaniacha hewani kabisa....

Baada ya wk moja tutakuja kukusalimia....sorry, may be ningeyaandika haya PM...ila sina password ya kwenda huko!!

Babu DC!!
 
Si mtumegee kidogo na sie ambao ni slow learners??

Au mnaendekeza uchoyo....

Ngoja Madabe B aje atuwekee hapa live bila chenga..

Babu DC!!

Hahahaaaa..... Ukitaka uhondo wa ngoma shurti uingie uwanjani ucheze Babu..!!
 
It's just the way you brought this up, quite typical of an aggrieved person. And i guess i won't be offending if i dare said such sentiments can only come if not from a victim, then from a current or once upon time culprit.

None is aggrieved, sir.

If it is the way I presented it then I dare also say perhaps it is the way you received it (which is way beyond my control).

Nevertheless, I think I still got it....it being the skills to pay the bills.

If I put my mind to it I can give Shigongo and his empire a run for his money.

What say you?
 
aisee nitashukuru sana huku bongo vumbi tupu!hakuna maslahi kabisa bwana..kila mtu kafulia ukikaa vibaya unaliwa mzigo na hela unatoa! maisha gani hayo..ndo maana tunaishia kushinda humu jf ! bora nikabebe box mbele ni mbele tu !

Kabebe mabox ushindie mikate sie twajichana makande, makange, urojo kwa rahazetu
 
tehe ....

naniliu .come this way baby. Twenzetuuu
 
na wewe ulijuaje wanashnda huko??
 
pm zinanikumbusha mbali.kuna good memory na bad memory.ila nitaishia hapo tu
 
Back
Top Bottom