Kushinda kwenye PM

Kushinda kwenye PM

nitakwenda PM nimwambie mama haya :mwaaah: unayomfanyia yeye akiwa hayupo
halafu nita:doh: ukifokewa
Besti hebu nitumie jiPM kwanza maana nahisi kukumis sana sijakuona mwezi wa tatu huu sasa...
 
niliposema kunikosea sana ilijumuisha na adabu pamoja na mambo mengine.....
yaani kweli na mapoint yangu na kujieleza kwangu huku halafu mtu aniulize nimevaa chupi gani kwa pm? huko kutakuwa ni kwenda mbali sana....
Huwa natabasamu tu ninaposoma PM na mtu anajisalimisha na "No hard feelings", najivunia kuheshimiwa kwa design hiyo, hata PM.....
Utu uzima raha sana mtu mzima mwenzangu, au wewe unaonaje?

Hongera sana mkubwa mwenzangu...

Mwenzio hata password ya PM sina...lol

Babu DC!!
 
Hongera sana mkubwa mwenzangu...

Mwenzio hata password ya PM sina...lol

Babu DC!!
ha haaa, mkubwa mwenzangu, kuna watu wanaomba ushauri ambao hawapendi wengine waone.
kumbuka pwd basi, maana karibia nakuja kuomba ushauri wako huko..... "No hard feelings", lol!
 
ala kumbe! unanilaghai daddy; haya
ukitaka nipe chocolate nisimwambie.........
nitacheka mie :becky:

Hahah ukiona meseji yoyote yenye neno 'kumis' ujue mama ndio kaandika kwa kutumia ID yangu...
 
dah hii thread yako utafanya wwatu wapate 'guilty conscious ' tele

kila mtu atajiuliza naongelewa mimi au? lol

kuna siku zamani hapa JF kuna mdada alinishindisha pm kutoka saa saba mchana hadi saa tatu usiku
yaani pm zake zinakuja tatu tatu duh lol

Hahaha
 
mkuu mambo ya pm siku zote ni 'imaginations' tu
ndo maana watu wakishaonana hawashindi pm
so pm ni nzuri kama unapenda fantasies zaidi..
ha haaaa...... noted!:confused2:
halafu zamaniiiii kulikuwa na JF chat, watu hapa ndo walikuwa hawaonekani kabisaaaa, mpaka ikafungwa
 
  • Thanks
Reactions: SMU
ala kumbe! unanilaghai daddy; haya
ukitaka nipe chocolate nisimwambie.........
nitacheka mie :becky:

Hizo hapo chukua...lol

AMELIE_1_-_15_CHOCOLATE_SELECTION_-_PNG_FILE__91016_zoom.png
 
Ivi kumbe mkianzaga pm hamuhamiag simuni?namaanisha hamu exchange number?
 
ha haaa, mkubwa mwenzangu, kuna watu wanaomba ushauri ambao hawapendi wengine waone.
kumbuka pwd basi, maana karibia nakuja kuomba ushauri wako huko..... "No hard feelings", lol!


Hapo hata bibi akisoma atafurahi sana....

Ila mmhhh...huko PM nitapaweza na uzee huu??

Babu DC!!
 
Back
Top Bottom