Lord Lofa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2011
- 2,512
- 2,752
we hujawahi ulizwa swali hilo?
ungependelea kuulizwa labda ili 'tukidhi kiu yako' ? lol
Mmmmh haya bwana
we hujawahi ulizwa swali hilo?
ungependelea kuulizwa labda ili 'tukidhi kiu yako' ? lol
Babuuuuuu wajukuu hao
we hujawahi ulizwa swali hilo?
ungependelea kuulizwa labda ili 'tukidhi kiu yako' ? lol
labda alikutana na kidume lol
pm unaweza hadi fanya cyber sex na kidume mwenzio ukidhani umeopoa bonge la mdada lol ...
muulize Smile huko ndo wadada wanaulizwa umevaa chupi rangi gani
we uko tayari kuulizwa haya?
watu wa id za kike na wenyewe vidume wapo
sasa kama waki flirt pm wana flirt vipi?
si hatari?
Poa sana...ila nikikosea nika-quote kwenye posts zangu usinitukane,...sawa??
Babu DC!!
unakuta mtu mwingine mnaheshimiana so kumpotezea inakuwa issue! ila pm bana mtu anakuuliza eti by the way umevaa chupi gani? kama sio kutiana majaribuni ni nini? khaaaaa pm mmmmh!
Ha ha haaa haaa haaa waoooo umeleta raha Nyani Ngabu hii imetulia sana.
umenitisha!!!!!! ukimwaga siri ntaweka uso wangu wapi humu jf?????
dah hii thread yako utafanya wwatu wapate 'guilty conscious ' tele
kila mtu atajiuliza naongelewa mimi au? lol
kuna siku zamani hapa JF kuna mdada alinishindisha pm kutoka saa saba mchana hadi saa tatu usiku
yaani pm zake zinakuja tatu tatu duh lol
Pm ndo nini wadau??
Ha ha haaa haaa haaa waoooo umeleta raha Nyani Ngabu hii imetulia sana.
Nafurahi kuona wapo mliorahatupika.
kiukweli hii thread inawachomoa 'wahusika' very soon lol
Hahaahahahah pole sana yaonekana stori zilikolea tu.
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums