Broken soul
JF-Expert Member
- Oct 24, 2013
- 459
- 131
Pm ndo nini wadau??
mmmhhhdah hii thread yako utafanya wwatu wapate 'guilty conscious ' tele
kila mtu atajiuliza naongelewa mimi au? lol
kuna siku zamani hapa JF kuna mdada alinishindisha pm kutoka saa saba mchana hadi saa tatu usiku
yaani pm zake zinakuja tatu tatu duh lol
Mara nyingine huwa nashindwa kuielewa JF...
Mbona PM yangu haijawahi kupata mgeni hata mmoja....
May be ni uvivu wangu...
But....Mtu mwingine kabisa, anaweza kujua kama Babu anashinda JF akishindia hamu??
Babu DC!!
na mimi nashinda kwenye pm tuKuna watu wanashangaza sana. Yaani mtu umejiweka invisible humu halafu huchangii kwa sana siku hizi lakini kila siku unashinda kwenye PM.....
Ama kweli facts sometimes are stranger than fiction.
Kila ukitokea mara chache chache watu wanakuuliza mbona umepotea hivyo....kumbe wapi! Upo kila siku lakini unashinda kwenye PM na yule nanii....:smile-big:
Kaazi kweli kweli.
halafu babu nisamehe yaani ! nasahau sana ujue! nina mambo millioni kidogo
Ngoja niku pm niweke historia kwenye pm yako.
Naomba leo unifundishe kutumia PM ili unieleze kwa ufupi..lol!!
Babu DC!!
na mimi nashinda kwenye pm tu
mmmhhh
unakuta mtu mwingine mnaheshimiana so kumpotezea inakuwa issue! ila pm bana mtu anakuuliza eti by the way umevaa chupi gani? kama sio kutiana majaribuni ni nini? khaaaaa pm mmmmh!
Kaka the boss wewe ndo ulimshindisha mdada wa watu nini afu unajitetea teh teh teh teh!!!!!!!!!!1
Hahaha ilinitokea nilishinda PM miezi miwili dah kilicho nikuta sitasahau.
dah hii thread yako utafanya wwatu wapate 'guilty conscious ' tele
kila mtu atajiuliza naongelewa mimi au? lol
kuna siku zamani hapa JF kuna mdada alinishindisha pm kutoka saa saba mchana hadi saa tatu usiku
yaani pm zake zinakuja tatu tatu duh lol
khaaa ndo mambo ya pm hayo...mmmhhh aiseeee
Nini kilikukuta komredi?
Nini kilikukuta komredi?