tinna cute
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 4,630
- 2,310
Kwani kuna siri gani ulitaka kuongea na mimi PM? I.e ni topic gani ulitaka tudiscuss??
Babu DC!!
Nilitaka unifundishe ku mention jina la mtu.
Kwani kuna siri gani ulitaka kuongea na mimi PM? I.e ni topic gani ulitaka tudiscuss??
Babu DC!!
na wewe ulijuaje wanashnda huko??
ya nini? nikivaa chupi navimba mwili mzima
pm zinanikumbusha mbali.kuna good memory na bad memory.ila nitaishia hapo tu
Limekupata?
Nilitaka unifundishe ku mention jina la mtu.
kichwani teh!!!!!!!!!
tehe ....
naniliu .come this way baby. Twenzetuuu
Hebu andika hivyo kwa Kiingereza.....
Yaani shetani anaweza karibishwa hivi hivi.............kuna watu walimwagiana sms hapa hadharani baada yakutibuana huko PM
haaaa haaaaa wewe nichokozeYeah hata mi zinanikumbusha mbali kama zinavyokukumbusha wewe.
mie sivai mie ....nawajibu hivo hivoHewalaaa basi wakikuuliza umevaa rangi gani uwaape jibu hili hili...
Heheh utasababisha mtu auze nyumba ya urithi...
Nimeupenda huu uzi to the maximum.
Jamani tinna cute hujui? Babu atakufundisha mjukuu wake mtiifu.
Mulishindishana bwana weeee.dah hii thread yako utafanya wwatu wapate 'guilty conscious ' tele
kila mtu atajiuliza naongelewa mimi au? lol
kuna siku zamani hapa JF kuna mdada alinishindisha pm kutoka saa saba mchana hadi saa tatu usiku
yaani pm zake zinakuja tatu tatu duh lol
Unasema kweli, kweli kabisa, ukweli wote, na ukweli mtupu?
huo sasa umbea,kwa kuwa zako unatoa za kiubahili?Hmmm...mbona The Boss kakugongea like.....?