Kuna wanaume hawana akili kabisa aisee

Kuna wanaume hawana akili kabisa aisee

Upo na umama acha tabia za kike...
Wanaume hatuchunguzi maisha ya watu kijana badilika!!

Yaani kutwa nzima unafatilia life la mpangaji mwenzio utafikiri umebeba mbunye
Mkuu na wewe ni mwanaume katika hii dunia?
 
Hivi seriously mwanaume unaweza kerwa na maisha ya mwanaume mwenzio na mkewe tena mpangaji mwenzio?

Hivi una akili sawasawa wewe kima? Hii unaweza iita hoja kumjadili mwanaume mwenzio?

Unaishi kutwa kusoma maisha ya mpangaji mwenzio kiasi cha kuja kuanzisha thread eti unaiita hoja? Hivi una akili timamu wewe?

Huna mambo yako ya kufanya?
Wewe ungekuwa ndugu yangu ningekukata vibao akili ikae sawa, huwezi kuwa mwanaume usiye na maamuzi ya kiume unatetea usenge fara wewe, Vaa siketi tujue moja
 
Imeandikwa ishi na mwanamke kwa akili, akikuzidi akili umeisha utakuwa zwazwa,

Ila ndo ivo hamna jinsi wengine hatujawaza kuwapa ajira permanent ya ndoa, omba lisikukute kwenye ndoa utatembea unaimba mwenyewe road.
 
Wewe ungekuwa ndugu yangu ningekukata vibao akili ikae sawa, huwezi kuwa mwanaume usiye na maamuzi ya kiume unatetea usenge fara wewe, Vaa siketi tujue moja
😀😀 Jamaa ni bonge la PUMBAVU halafu na ufara wake unaonekana mda wote kakazania kutukana tu
 
Wewe uko na umama shwaini
wewe hufai kuitwa mwanaume, unajikunja kabisa unatype unaona uko sawa. Sijawahi kutukana lakini wewe nakutana Sengerema kwelii wewe, Bora baba yako angepigia chooni bao lilikuzaa wewe. Unatetea kuzuia wazazi kufika kwa mtoto wake kisa mke? Senerema limoja
 
Huyo Mhandisi ana akili Sana,Nampa hongera, Bora aendelee hivyo asiruhusu jamaa au ndugu yake kuja nyumbani kwake kwani ni kweli watamharibia ndoa yake.

Ndugu na jamaa wanaongoza kuleta fitna za kuvunja ndoa za watu

kwani kama Mke wa huyo jamaa anapigisha nje itabadilisha nini ikiwa mke anampa heshima na mahitaji yote ambayo Mume anastahiki kupewa na Mke?!

Mkuu,Kuna tafauti baina ya Ngono(sex) na mapenzi (Love),Kama wanapendana Sasa tatizo liko Wapi??unajuaje Kama huyo jamaa na yeye anapiga nje akiwa katika safari zake??!

Ukweli mimi nakushangaa wewe usiejua mapenzi ni kitu gani,maisha ya uswahilini yana tabu sana,umbea umezidi acha kuingilia maisha ya watu,pambana na hali yako,Ku*ma haina makombo

Tafakari..
 
Huyo Mhandisi ana akili Sana,Nampa hongera, Bora aendelee hivyo asiruhusu jamaa au ndugu yake kuja nyumbani kwake kwani ni kweli watamharibia ndoa yake.

Ndugu na jamaa wanaongoza kuleta fitna za kuvunja ndoa za watu

kwani kama Mke wa huyo jamaa anapigisha nje itabadilisha nini ikiwa mke anampa heshima na mahitaji yote ambayo Mume anastahiki kupewa na Mke?!

Mkuu,Kuna tafauti baina ya Ngono(sex) na mapenzi (Love),Kama wanapendana Sasa tatizo liko Wapi??unajuaje Kama huyo jamaa na yeye anapiga nje akiwa katika safari zake??!

Ukweli mimi nakushangaa wewe usiejua mapenzi ni kitu gani,maisha ya uswahilini yana tabu sana,umbea umezidi acha kuingilia maisha ya watu,pambana na hali yako,Ku*ma haina makombo

Tafakari..
Mzee, wala usidhani huku ni uswahilini lakini bado pia wanaume kama wewe mnanishangaza, unaweza kuzuia wazazi kufika kwako na kukata misaada kisa kumpa uhuru mke?, huku ndugu zake yeye ukiendelea kuwahudumia?... huo ndio msingi wa mada kama unatetea basi una roho ya kipekee sana mkuu
 
Mzee, wala usidhani huku ni uswahilini lakini bado pia wanaume kama wewe unanishangaza, unaweza kuzuia wazazi kufika kwako na kukata misaada kisa mke, huku ndugu ukiendelea kuwahudumia?... huo ndio msingi wa mada
Ngoja nimuuulize hao ndugu na jamaa wanahusu upande wa mume tuu kwa mwanamke ni ruksa
 
Mzee, wala usidhani huku ni uswahilini lakini bado pia wanaume kama wewe unanishangaza, unaweza kuzuia wazazi kufika kwako na kukata misaada kisa mke, huku ndugu ukiendelea kuwahudumia?... huo ndio msingi wa mada
Labda jamaa anaijui familia na ndugu zake wakoje, labda yameshawahi kumkuta

Muhimu mapenzi yapo,ameridhika na maisha ya ndoa yake,kuhusu nini kinaendelea yeye mke wake na familia yake is none of your business,hayakuhusu,acha umbea..
 
Ukiona mwanao ana hangaika na mabinti katika umri mdogo wala usimkataze ndio anaanza kuwazoea hawa viumbe complex mara nyingi kama sio zote watu walio soma engineering au Doctors hawako social na hawajui hawa viumbe muda mwingi wame spend kusoma ata time ya kusocialize hawana nina ndugu yangu ni DR bure kabisa umri umesogea ndio kwanza anahangaika na Videmu tena Vibovu haswa na wife anae sasa kama sio ujinga huo ni nini kujitwisha mzigo wa Mwanamke mwenye watoto watatu tena unajisifu kuwa hata ndugu huruhusu wafike kwako anadhani akifa huyo mwanamke ndio atamzika?
wanawake hawana experience ndugu, utakuta huyo jamaa amehangaika na wanawake wa kila dizaini, ameamua kutulia, halaf mke ndio anaanza umalaya, uhuni ni tabia.
 
Labda jamaa anaijui familia na ndugu zake wakoje, labda yameshawahi kumkuta

Muhimu mapenzi yapo,ameridhika na maisha ya ndoa yake,kuhusu nini kinaendelea yeye mke wake na familia yake is none of your business,hayakuhusu,acha umbea..
Mimi mtu akitukana huwa namuona MPUMBAVU au ameguswa, Maana silaha ya MPUMBAVU huwa si hoja bali matusi ili kujiwekea Defensive mechanism.., Jenga hoja ili twende sawa acha UPUMBAVU

Unadhani sisi tulimuomba ushauri?
 
Ukiona mwanao ana hangaika na mabinti katika umri mdogo wala usimkataze ndio anaanza kuwazoea hawa viumbe complex mara nyingi kama sio zote watu walio soma engineering au Doctors hawako social na hawajui hawa viumbe muda mwingi wame spend kusoma ata time ya kusocialize hawana nina ndugu yangu ni DR bure kabisa umri umesogea ndio kwanza anahangaika na Videmu tena Vibovu haswa na wife anae sasa kama sio ujinga huo ni nini kujitwisha mzigo wa Mwanamke mwenye watoto watatu tena unajisifu kuwa hata ndugu huruhusu wafike kwako anadhani akifa huyo mwanamke ndio atamzika?
Mkuu hili inaonekana ni janga kubwa sana kwenye hiki kizazi cha sasa, Hebu pitia comment za member humu uone..watu wanatukana huku wakionesha dhahiri jamaa yuko sahihi.

Wanaume wamebaki wachache sana kwenye dunia ya leo kwa upande wa maamuzi
 
Ngoja nimuuulize hao ndugu na jamaa wanahusu upande wa mume tuu kwa mwanamke ni ruksa
ndio maana nimemshangaa huyo jamaa, hebu muulize wewe..Jamaa kanisikitisha sana
 
Mimi mtu akitukana huwa namuona MPUMBAVU au ameguswa, Maana silaha ya MPUMBAVU huwa si hoja bali matusi ili kujiwekea Defensive mechanism.., Jenga hoja ili twende sawa acha UPUMBAVU

Unadhani sisi tulimuomba ushauri?
Muonyeshe wapi nimetukana?au wapi nimetumia neno MPUMBAVU?..

Hoja Ni kwamba wewe,unashangaa maisha ya mpangaji mwenzako,..unaleta umbea katika maisha ya mwenzako..

Kama mkewe anapigisha nje,Kama jamaa anaelea mitoto ya mkewe, wewe inakuhusu nini mpaka unaleta Uzi wa umbea hapa JF?

Mlinde mkeo ndie anaekuhusu, .😊
 
Muonyeshe wapi nimetukana?au wapi nimetumia neno MPUMBAVU?..

Hoja Ni kwamba wewe,unashangaa maisha ya mpangaji mwenzako,..unaleta umbea katika maisha ya mwenzako..

Kama mkewe anapigisha nje,Kama jamaa anaelea mitoto ya mkewe, wewe inakuhusu nini mpaka unaleta Uzi wa umbea hapa JF?

Mlinde mkeo ndie anaekuhusu, .😊
Anyway, Sawa mkuu naona ni aina ya wanaume wa kinondoni hatuwezi kwenda sana
 
Mzee, wala usidhani huku ni uswahilini lakini bado pia wanaume kama wewe mnanishangaza, unaweza kuzuia wazazi kufika kwako na kukata misaada kisa kumpa uhuru mke?, huku ndugu zake yeye ukiendelea kuwahudumia?... huo ndio msingi wa mada kama unatetea basi una roho ya kipekee sana mkuu
inawezekana wazazi na ndugu walishamuharibia ndoa huko nyuma, sasa hivi anajihami. mambo ya ndoa magumu sana, ndugu na wazaz ndio chanzo cha mfarakano
 
Huyo Mhandisi ana akili Sana,Nampa hongera, Bora aendelee hivyo asiruhusu jamaa au ndugu yake kuja nyumbani kwake kwani ni kweli watamharibia ndoa yake.

Ndugu na jamaa wanaongoza kuleta fitna za kuvunja ndoa za watu

kwani kama Mke wa huyo jamaa anapigisha nje itabadilisha nini ikiwa mke anampa heshima na mahitaji yote ambayo Mume anastahiki kupewa na Mke?!

Mkuu,Kuna tafauti baina ya Ngono(sex) na mapenzi (Love),Kama wanapendana Sasa tatizo liko Wapi??unajuaje Kama huyo jamaa na yeye anapiga nje akiwa katika safari zake??!

Ukweli mimi nakushangaa wewe usiejua mapenzi ni kitu gani,maisha ya uswahilini yana tabu sana,umbea umezidi acha kuingilia maisha ya watu,pambana na hali yako,Ku*ma haina makombo

Tafakari..
Watu kama wewe inakuaje mpaka mnazaliwa wanaume?
 
inawezekana wazazi na ndugu walishamuharibia ndoa huko nyuma, sasa hivi anajihami. mambo ya ndoa magumu sana, ndugu na wazaz ndio chanzo cha mfarakano
Huyu jamaa hajawahi kuoa mkuu, kutokana na maelezo yake mwenyewe kanasa kwa huyu bibie ndio akaoa kabisa.
 
Back
Top Bottom