Mzigua_255
JF-Expert Member
- Jun 25, 2026
- 813
- 1,640
Simulizi fupiii..
Wakuu laana nilidhani haipo lakini, sasa nadhani mtu anaweza kulaaniwa na wazazi wake.
Kijana mmoja mwenye umri wa miaka 20+ alipelekwa na baba
yake mjini kwa ajili ya masomo ya chuo baada ya kumaliza secondary wazazi wake hawana elimu ya aina yeyote wala wadogo zake ila baba yake,
Aliamua kumsomesha
kijana wake.
Baada ya miaka miwili jamaa akarudi kuwasalimia ndugu zake
NAFUPISHA STORY..
Jamaa alivyorudi alibadilika sana akawa anamazoe na wake za kaka yake ya ma shemeji zake.
Mwisho wa siku akafumaniwa na mke wa kaka yake waliozaliwa tumbo moja.,
Akasamehewa akaja kufumaniwa tena ndio ikawa.. kesi kubwa zaidi+
Lakini mzee wao(baba)
Alimwambia mwanae aliemfumania huku akilia, kamwe katika maisha yako.,
Hutotembea na mwanamke mwingine zaidi ya mke wakaka yako,,
Jamaa mpaka leo,
Hana nguvu za kiume kawa chizi chuo kaacha kahangaika kila kona tiba hajapata ni chizi hajitambui
SHARE STORY YAKO YA LAANA YA WAZAZI ULIOWAHI KUSHUHUDIA.,HAPA
Mzigua_255
Wakuu laana nilidhani haipo lakini, sasa nadhani mtu anaweza kulaaniwa na wazazi wake.
Kijana mmoja mwenye umri wa miaka 20+ alipelekwa na baba
yake mjini kwa ajili ya masomo ya chuo baada ya kumaliza secondary wazazi wake hawana elimu ya aina yeyote wala wadogo zake ila baba yake,
Aliamua kumsomesha
kijana wake.
Baada ya miaka miwili jamaa akarudi kuwasalimia ndugu zake
NAFUPISHA STORY..
Jamaa alivyorudi alibadilika sana akawa anamazoe na wake za kaka yake ya ma shemeji zake.
Mwisho wa siku akafumaniwa na mke wa kaka yake waliozaliwa tumbo moja.,
Akasamehewa akaja kufumaniwa tena ndio ikawa.. kesi kubwa zaidi+
Lakini mzee wao(baba)
Alimwambia mwanae aliemfumania huku akilia, kamwe katika maisha yako.,
Hutotembea na mwanamke mwingine zaidi ya mke wakaka yako,,
Jamaa mpaka leo,
Hana nguvu za kiume kawa chizi chuo kaacha kahangaika kila kona tiba hajapata ni chizi hajitambui
SHARE STORY YAKO YA LAANA YA WAZAZI ULIOWAHI KUSHUHUDIA.,HAPA
Mzigua_255