Kuna Viongozi wasaliti CHADEMA - Mbowe

Kuna Viongozi wasaliti CHADEMA - Mbowe

Nakile chama kinachoendeshwa kwa misingi ya rushwa na mwenyekiti wake wa taifa akiishia kulia lia bila kuchukua hatua mathubuti kinaitwaje vile?
Haya yote uliyotaja na mengine mengi machafu kama ya kukatalia madarakani yako chadema.
 
Mkuu,

Kuna familia imewekeza pesa zake nyingi kuendesha shughuli za chama hiki. Ukiwaambia waachie uongozi utakuwa unatafuta ugomvi nao.

Chama cha wote kinajulikana.
Haswaaa! pale ambapo uongozi hutafutwa kwa rushwa tangu shina hadi taifa! na mwenyekiti wake ambaye alipita kwa rushwa hulialia kama mtoto lakini hachukui hatua.
 
chiaguzi za ngazi tofauti katika chama zapaswa kufanyika,sanduku la kula litaamua nani anahitajika katika ngazi mbalimbali chamani,haiwekani mtu anashikilia nafasi miaka 10 no uchaguzi hii sio democrasia,chama cha siasa ni chama cha watu na sio cha ukoo au familia furani,ukifanyika uchaguzi hao wanaotwa wasaliti watatoweka.

Wapi papaa kigunge mgombamwitu,,
 
in mbowe we trust!!

No room for disloyalty anymore.

Whenever caught in any attempt leading to discourtsey, they must get carried away and get them dispatched from the party.

an immediate measures are of great paramount.
 
jibu mwanana. hata kama uchaguzivungefanyika leo.itakuwacni upuuzi mkubwa kuendesha uchaguzi kwa shinikizo la wasaliti wapenda madaraka ,"na mawakala wa wakoloni weusi..........safari ya kuusaka ukomboz itaongozwa na watu wanaoaminika kwamba wanaamini ktk ukomboz..sio wapuuzi na wazandiki wanaomini katika usaliti huku wakijipambanua kinafiki kuwa wanamujumuhi wa Afrika ( Pabafricanist).

kitu muhm kutambua ni kwamba si lazima uwe mwenyekiti wa chamaili uweze kuleta mabadiliko makubwa ktk nchi. kama kyk nafas uliyopo unaongoza usaliti tukikupa uenyekiti bila shaka utaongoza mkakati mpana wa kuviza mapambano ya ukombozi na kuua hamasa ya umma kutafuta uhuru uliotekwa nyara na wasaliti wa nchi.... WATU HAWA NI AINA YA wasaliti walioiangusha na kuisambaratisha URUSI

We can easily give in to the evil forces of traitors. we must soldier on these revelations are ttue signs whch indicate tht victory against the betrayors of our independence is close to realization...History of our struggle for second liberation will keep record of their betrayal of the very course of freedom fighting...

inaumiza sana kuona kuna watu badala ya kuongeza nguvu ili tuikamilishe safari kwa kishindo kikubwa, wao wako busy kutafuta umaarufu binafsi na kufanya kila hila kukwamisha mapambano...historia itatunza kumbukumbu ya vitendo vyao..

This is Fantastic.........!
 
Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai.

Kila anayehoji ulaghai huo anapachikwa jina la "msaliti".

Hata akina Samweli Sita wa CCM, waliposema ukweli mliwaita
wasaliti na kwamba ati wazungumza nje ya utaratibu. Kisha mkapendekeza wafukuzwe. Je CCM,kwa maana hiyo nayo inaongoza kilaghai?
 
huna mamlaka ya kuhoji lolote kuhusu cdm ! wewe unatakiwa kufuatilia kama ziara ya mwigulu ilikuwa ya kichama au ya binafsi baasi .
Kamanda hivi kuna ubaya gani wanachamaa akihoji ukomo wa uongozi ni makosa?
 
chiaguzi za ngazi tofauti katika chama zapaswa kufanyika,sanduku la kula litaamua nani anahitajika katika ngazi mbalimbali chamani,haiwekani mtu anashikilia nafasi miaka 10 no uchaguzi hii sio democrasia,chama cha siasa ni chama cha watu na sio cha ukoo au familia furani,ukifanyika uchaguzi hao wanaotwa wasaliti watatoweka.
Mbona una michecheto, uchaguzi utafanyikaje kabla ya muda? Ninyi ndo ajenti wa CCM mnasubili uchaguzi ufanyike ili muwagawanye CDM au mpenyeze vibaraka wenu. Mi naishauri CDM isifanye uchaguzi mpakabaada ya uchaguzi mkuu 2015 ingawaje uchaguzi wenu ni mwakani. Watu kama hawa wajinyonge au wajitoe kwenye chama.
 
Kazi nzuri mwenyekiti Mbowe,wewe ni jemedari wa vita na tunakuunga mkono katika harakati zako kwakuwa Chadema iko salama ikiwa chini ya uenyekiti Wako. Wengine bado hawajajipambanua kama ni baridi au Moto!

sio lazima kiwe chini ya uenyekiti wa mbowe cdm kinao watu wengi makini ambao wanaweza kukiongoza. Sasa mbowe awaachie na wengine wenye fikra mpya yeye mda wake umeisha
 
This is Fantastic.........!

Mkuu huyu jamaa kasema mambo ya msingi sana.kwa mtu yoyote ambaye anaunga mkono mabadiliko ni lazima akili kuwa uongozi wa juu wa cdm kwa sasa ndiyo unaokifanya kiendelee kuwa imara. Mimi naamini kuna watu wengine pia wanaoweza kukupeleka chama mbele na kila mtu anawajua lakini siyo hawa ambao chama tawala kinawataka. Molemo pia kasema kitu cha msingi sana kwamba kiongozi wa chadema lazima awe ni yule anayechukiwa na ccm si kwa sababu anaikosoa sana serikali lakini ambaye ccm imeshindwa kumshawishi kwa pesa zao. Mimi naamini utajiri wa mbowe umekisaidia sana chadema la sivyo angekuwa pimbi mmoja mwenye njaa zake ndo mwenyekiti wala tusingekuwa tunaongelea chadema leo yangekuwa kama ya NCCR tu. Umasikini ni mbaya sana na ndiyo maana demokrasia ya kweli iko kwenye nchi tajiri tu hapa duniani.

Hakuna chama cha upinzani kinachoweza kuongozwa na maskini kikaweza kuhimili misukosuko ya watawala! Inahitaji pesa nyingi zaidi ya ruzuku kupambana na hila chafu za watawala! Kuendesha intelijensia ya chama ambayo ni effective inahitaji mtakato maana huko ndiko kwenye ulinzi wa chama. Chama kisichokuwa na intelijensia isiyoimara hakiwezi kuhimili mbinu za kukiua za watawala! Chadema chini ya uongozi wa sasa imehimili misukosuko mingi na hili naamini limewezekana kwa sababu ya kuwa na mwenyekiti amabaye hana njaa!

Katika vitu ambavyo chadema inaweza kujivunia ni utoshelevu wa kipesa alionao mbowe pamoja na uadilifu mkubwa wa wengi wa viongozi wenzake. Mimi naamini vita hivi ni kati ya Mungu na shetani lakini wote tunaju amshindi ni Mungu na aliyeupande wa Mungu ndiye mshindi pia. Je wanaotaka mapinduzi ndani ya chadema wako upande upi? Ngoja tusubiri maana sisi kazi yetu ni kumwomba Mungu ili yaliyomapenzi yake yatimie katika hili.

Jipeni moyo makamanda giza linapozidi sana ndipo kumekaribia kuchwa! Siyo muda mrefu ukuta wa Jeriko utaanguka maana tuko kwenye round ya karibu na ya mwisho!
 
Kiongozi shupavu kupata kuongoza upinzani hapo kabla na baada,ambaye hayumbishwi na misimamo ya wacheza ngoma kama wale wanaojaribu kuichafua chadema.
 
huyo jamaa yako mbowe nae ameshauza sana bwimbwi ndio maana hata office ya Chadema mtaa wa ufipa ipo karibu na masuper dealer wa sembe

kwa ujumla chadema ni chama kinachoendeshwa katika
misingi ya kilaghai. Kila anayehoji ulaghai huo anapachikwa jina
la "msaliti".

Uzuri wa mwanamke ni tabia si sura, hatuwashangai kwani magamba ni wataalamu wa mipasho.Magamba mna majengo manzuri, je mnafanya nini la maana zaidi ya kula rushwa tu!
 
sio lazima kiwe chini ya uenyekiti wa mbowe cdm kinao watu wengi makini ambao wanaweza kukiongoza. Sasa mbowe awaachie na wengine wenye fikra mpya yeye mda wake umeisha

kwani lazima wawe wenyeviti cdm,kuna vyama vingapi,kama wanaona demokrasia c waondoke,
 
Mkuu,

Kuna familia imewekeza pesa zake nyingi kuendesha shughuli za chama hiki. Ukiwaambia waachie uongozi utakuwa unatafuta ugomvi nao.

Chama cha wote kinajulikana.

Mara wanakula ruzuku ya chama mara wamewekeza kwenye chama sasa ukweli ni upi?.
 
Back
Top Bottom