Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,513
- 283,982
Chadema kamwe hakitaongozwa na mawazo kutoka Lumumba! Yule ambaye Lumumba hawamtaki ndiye atakayeongoza Chadema!
umepigilia msumali wa mwisho .
Chadema kamwe hakitaongozwa na mawazo kutoka Lumumba! Yule ambaye Lumumba hawamtaki ndiye atakayeongoza Chadema!
We molemo mhusudu tu huyo mbowe lakini yai litawatobokea tu watu wananyanyasawa ndani ya chadema,mbowe anaongoza chama kibabe halafu unasema anaungwa mkono na watu wengi hata huogopi kusema uongo.
chiaguzi za ngazi tofauti katika chama zapaswa kufanyika,sanduku la kula litaamua nani anahitajika katika ngazi mbalimbali chamani,haiwekani mtu anashikilia nafasi miaka 10 no uchaguzi hii sio democrasia,chama cha siasa ni chama cha watu na sio cha ukoo au familia furani,ukifanyika uchaguzi hao wanaotwa wasaliti watatoweka.
Tatizo mnakula wenyewed bila kuwagawia wenzenu
Nadhani namba ya Msigwa unayo....Ingekuwa busara zaidi ungewasilisha kwanza hela za Marehemu Mwangosi kwa mjane wake!
Kumbe mnatumia hela za ruzuku mnavyotaka kwa kujenga majumba dubai na kwingineko mkiulizwa mnasema hayatuhusu huku mkijua kuwa zile ni hela za walipa kodi.Hayakuhusu.Wewe kinakuuma nini LB7?
Kwahiyo wewe unaona mko sawa na hao wazee wako?Je muda wa uchaguzi ndani ya CDM ukwishapita?????
Hivi Chadema mnakiendesha chama kwa misingi ipi.
Nyie wenyewe mnasema chama chenu ni cha demokrasia, akitokea mtu kuhoji mwendendo wa matumizi ya ruzuku mnasema ni msaliti.
Mbowe kama anaungwa mkono wanachama watu wengi mbona amechakachua katiba ya chama kuhusu uchaguzi. Kwa mujibu wa Mkulima.
Mbowe aache mipasho Kama anawajua wasaliti si awataje hadharani? Yaani hizi siasa za majungu zimepitwa na wakati, yeye ni Mwenyekiti basi awataje hadharani kuonesha demokrasia!
Sie tunajua unayemsema na kwanini umeyasema hayo na uliyemsema anajua unamsema nani! Na alijua mapema utanena haya. CDM hakuna demokrasia hata Mwigambe amenena Hilo. Na baado sana!!!!
Hiyo ndio demokrasia ndani ya chama cha demokrasia.....
Mbowe na slaa wote wanamiliki majumba nje ya nchi na kuchota pesa za ruzuku na kutumia wanavyotaka hao ni aina gani ya watu?Ccm ni chama cha kifisadi. Kila anayehoji ufisadi huo anang'olewa kucha, meno na macho bila ganzi.
nadhani namba ya msigwa unayo....
Wapiga kura wepi kwani chadema inawapiga kura au inawagonga viroba na wafanya fujo?.......Ukipambana na CHADEMA ujuwe unapambana na wapigakura....
kawaulize magamba Arusha....over!!!
.......Ukipambana na CHADEMA ujuwe unapambana na wapigakura....
kawaulize magamba Arusha....over!!!
Nadhani namba ya Msigwa unayo....
Katika viongozi wa ajabu mbowe anaongoza usione ben amekazana kumtetea ujue ule uozo wa mbowe ben na wenzake watakuwa wananufaika nao,
kwa nini ben tangu mbowe atajwe kweshe kashifa ya kujenga jumba dubai ben amekuwa mtetezi wake so lazima ananufaika na matumizi mabaya ya ruzuku,
kwa wale tunaomjua mbowe tunajua pale hakuna kiongozi ni gwanda tu pengine na ubabe.
.....Mvomero kuna uhaba wa wakunga......