KASHOROBANA
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,241
- 964
Mfano wa kazi inayofanywa na Mwenyekiti wa Chadema unapaswa uigwe na viongozi wengine maana wasaliti ndani ya chadema hawana tofauti na wanaohujumu uchumi wa nchi kwa rushwa, kuchezea nyara za umma na ufisadi. Heko Mwenyekiti Mbowe
mh mbowe ata sisi wa kanda ya ziwa tuko nyuma yako, baba chapa kazi bila hofu, tuongoze vema kwani huu ni mda muafaka wa kudai uhuru wetu kwa mara ya pili, agent of colonialism walikuepo 1961 na ata leo wapo awa akina zito kabwe ivyo tsiteteleke,