LorenzoA
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 5,889
- 17,753
Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai.
Kila anayehoji ulaghai huo anapachikwa jina la "msaliti".
hayakuhusu....Mapandikiz yote mliyoyopanga tutayakatilia mbali......!
shonza na mampamba mliwatetea hivo hivo..Leo wako wap?
njaa na madaraka ni maji na mafuta!