Kuna Viongozi wasaliti CHADEMA - Mbowe

Kuna Viongozi wasaliti CHADEMA - Mbowe

kwa sababu kila kitu tunakifikiria kiushabiki,,, hata kauli hii a ha ishabikiwe.
ila mimi naona tofauti nisimamapo nje ya mashabiki na nikionacho kinaweza kikajibiwa na matusi toka kwa wadau.
naona anguko kuu, naona kujiamini kulikopitiliza,naona utayari wa kukiangamiza chama kwa kuwapiga vita kina fulani,naona utengano ulio wazi kwa misingi ya ukabila,naona kuna kabila lisilofanya makosa ndani ya chama,naona USALITI kutumika kama nyenzo ya kuwatenga wasioendekeza uchaga,naona dhana ya usaliti kutoeleweka miongoni mwa wafuasi wa chama, naona kutangazwa kwa watakatifu(wasiokosea,wasiostahili kuhojiwa) ndani ya chama na yule anayejaribu kufanya hivyo akitangazwa msaliti,
you still have a very long way to be a political part with national image. mwenyekiti wenu wa Arusha mliyemsimamisha na kumtangaza MSALITI ni pigo kwenu na inathibitisha kuwa yule asiye mchaga wala asiyetaka kuwasujudu wachaga na bado akawa na uwezo kuliko wachaga anatangazwa msaliti.
CHACHA WANGWE,ZZK,J. SHOZA, M.MWAMPAMBA na huyu mwenyekiti wa arusha.
poleni wachaga n puppets because you proving the ancient proverb that"THIS COUTRY IS SO HOLLY TO BE LEFT TO DOGS"
The dogs are known and they will be crashed
hapo kwenye red ni noma
 
Aliwezaje kuwa mwenyekiti wa chama kanda ya kaskazini basi?

Katika Wanasiasa vijana ninavutiwa nao sana hapa Nchini wewe Ben ni namba moja,Hakika una kipaji cha pekee na una great future ahead.Ninachokuomba kama unapata muda wa kuongea na Viongozi wako aidha Dr Slaa au Mbowe waambie wajaribu kubadilisha image ya Chama at least kwa kuweka mchanganyiko wa Viongozi wenye sura ya Kitaifa,Mwenyekiti atoke Kanda nyingine na Katibu atoke Kanda nyingine.Pia suala la Mwigamba wali-handle with a great care la sivyo litwaweka CHADEMA katika wakati mgumu mno kisiasa maana mpaka sasa hivi watu wanaiamini CHADEMA taratibu mno.Epukaneni kufanya maamuzi ya aina yoyote yale yatakayoonekana kuwa na chembe chembe za ukabila au ukanda.Be careful.
 
Aliwezaje kuwa mwenyekiti wa chama kanda ya kaskazini basi?
mkakati wenu ni endelevu wenye dhamira ya kuwalaghai watanzania, you give them a piece of bone and tell them to cherish it....
labda nikuulize wewe....
1.Inakuwaje chama chenu kimezungukwa na WASALITI?????
2. Inakuwaje wasaliti ndani ya chama wapo hadi ngazi ya makao makuu??
3. kwa nini nyie(CHAGAZ) sio miongoni mwa wasaliti wakati kila mtanzania anajua kuwa neno usaliti linawafaa zaidi wachaga(hususan wakitanguliziwa fedha na ahadi ya cheo)?????
4. usaliti una tafsiri gani ndani ya chama chenu(kama usaliti unaweza kuzidi ule usaliti uliofanywa na WACHAGA kwa kwenda UNO kudai uhuru wa CHAGALAND kinyume na NYERERE aliyekwenda kudai uhuru wa tanganyika)?????
5. Orodha ya wanaojua mapato na matumizi ya chama ndani ya chama chenu inahusisha watu wachache wenye mahusiano ya kikabila na kindugu na hakuna mwingine nje ya orodha hiyo anayestahili japo KUHOJI balance sheet ya chama na akijitokeza wa kuhoji mnamuita msaliti. kwa nini???
BEN... we love it when we hear you barking. because that is the duty of a dog to his master.
dogs are not allowed to enter in master's house because the house is too holly for them.
we let the mad dogs butcher each other for eternity,we let them segregate each other for the colour of their skin and the voice from their tang. but at the end...... dogs will remain to be dogs and their duty will be to alert their master.

........................................................THE SAGA CONTINUES ..............................................
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe amesema chama hicho hivi sasa kinakumbana na viongozi wasaliti wasiojua wajibu wao wa kulikomboa Taifa.

Akihutubia kongamano la wadau na viongozi wa Kanda ya Kaskazini kiongozi huyo amesema sababu kubwa ya usaliti huo ni uroho wa madaraka kwa baadhi ya watu.

Mwenyekiti huyo anayeongoza chama kikuu cha upinzani nchini amesema kwa sasa chama hicho hakitavumilia viongozi wasaliti na badala yake watakuwa wanaelezana ukweli na kuchukua hatua stahiki kila inapobidi.

Kauli hii ya Mbowe itakuwa msumari wa moto kwa baadhi ya viongozi wanafiki na wanaotumika kutaka kuvuruga chama hicho.

Mbowe ni kiongozi ambaye anaungwa mkono na idadi kubwa ya wafuasi wa CHADEMA kote nchini kutokana na kazi kubwa anayofanya kuimarisha chama hicho kiasi ambacho Mwenyekiti wa CCM Rais Kikwete akiwahutubia watendaji wa CCM hapo jana amehofia chama chake kuondolewa madarakani kupitia sanduku la kura mwaka 2015.

Source:ITV Habari

Mbowe ni moja ya viongozi makini sana na mwenye hekima za hali ya juu sana tofauti na watu wanavyomfikiria. Anacho kisema mbowe kuhusu viongozi wa saliti ni sahihi kabisa ila tunapaswa kujua ya kuwa chama ni kikubwa sana kwasasa na watu hawa hatuwezi kuwakosa ni lazima tutafute njia mbadala ya kukabiliana nao.
 
mkakati wenu ni endelevu wenye dhamira ya kuwalaghai watanzania, you give them a piece of bone and tell them to cherish it....
labda nikuulize wewe....
1.Inakuwaje chama chenu kimezungukwa na WASALITI?????
2. Inakuwaje wasaliti ndani ya chama wapo hadi ngazi ya makao makuu??
3. kwa nini nyie(CHAGAZ) sio miongoni mwa wasaliti wakati kila mtanzania anajua kuwa neno usaliti linawafaa zaidi wachaga(hususan wakitanguliziwa fedha na ahadi ya cheo)?????
4. usaliti una tafsiri gani ndani ya chama chenu(kama usaliti unaweza kuzidi ule usaliti uliofanywa na WACHAGA kwa kwenda UNO kudai uhuru wa CHAGALAND kinyume na NYERERE aliyekwenda kudai uhuru wa tanganyika)?????
5. Orodha ya wanaojua mapato na matumizi ya chama ndani ya chama chenu inahusisha watu wachache wenye mahusiano ya kikabila na kindugu na hakuna mwingine nje ya orodha hiyo anayestahili japo KUHOJI balance sheet ya chama na akijitokeza wa kuhoji mnamuita msaliti. kwa nini???
BEN... we love it when we hear you barking. because that is the duty of a dog to his master.
dogs are not allowed to enter in master's house because the house is too holly for them.
we let the mad dogs butcher each other for eternity,we let them segregate each other for the colour of their skin and the voice from their tang. but at the end...... dogs will remain to be dogs and their duty will be to alert their master.

........................................................THE SAGA CONTINUES ..............................................
Story za chumbani kwako unazileta huku? Hivi unategemea tutakujibu? Buku saba bana.. siku hizi mmekuwa makatibu wenezi wa chadema
 
Katika Wanasiasa vijana ninavutiwa nao sana hapa Nchini wewe Ben ni namba moja,Hakika una kipaji cha pekee na una great future ahead.Ninachokuomba kama unapata muda wa kuongea na Viongozi wako aidha Dr Slaa au Mbowe waambie wajaribu kubadilisha image ya Chama at least kwa kuweka mchanganyiko wa Viongozi wenye sura ya Kitaifa,Mwenyekiti atoke Kanda nyingine na Katibu atoke Kanda nyingine.Pia suala la Mwigamba wali-handle with a great care la sivyo litwaweka CHADEMA katika wakati mgumu mno kisiasa maana mpaka sasa hivi watu wanaiamini CHADEMA taratibu mno.Epukaneni kufanya maamuzi ya aina yoyote yale yatakayoonekana kuwa na chembe chembe za ukabila au ukanda.Be careful.

Mkuu chadema hatugawani vyeo, wakiwa wasukuma wote wenye nia na dhamira ya kweli wakigombea wakishinda wataiongoza chadema, hatuwezi kuwapinga wa chaga kwa uchaga wao tutawapinga kwa matendo yao. Nilazima tufike mahali tuheshimu mchango mkubwa wa wachaga kwenye mabadiliko ya nchi hii, watu hawa wamekuwa mstari wa mbele kuipinga serikali wazi wazi na kutumia gharama zao kusaidia ukombozi
Makabila tuliyo wengi kazu yetu kulalamika tu kila siku huku wenzetu wakisonga mbele kwa vitendo nenda moshi fananisha na sehemu nyingine uone utofauti wa upigaji kazi na wanavyojua kusimamia haki zao.
 
Katika Wanasiasa vijana ninavutiwa nao sana hapa Nchini wewe Ben ni namba moja,Hakika una kipaji cha pekee na una great future ahead.Ninachokuomba kama unapata muda wa kuongea na Viongozi wako aidha Dr Slaa au Mbowe waambie wajaribu kubadilisha image ya Chama at least kwa kuweka mchanganyiko wa Viongozi wenye sura ya Kitaifa,Mwenyekiti atoke Kanda nyingine na Katibu atoke Kanda nyingine.Pia suala la Mwigamba wali-handle with a great care la sivyo litwaweka CHADEMA katika wakati mgumu mno kisiasa maana mpaka sasa hivi watu wanaiamini CHADEMA taratibu mno.Epukaneni kufanya maamuzi ya aina yoyote yale yatakayoonekana kuwa na chembe chembe za ukabila au ukanda.Be careful.
ndugu yangu..... hata mimi namkubali sana BEN SAANANE(he knows it) lakini hiyo kazi unayompa ni sawa na kumpa mwanafunzi wa chekechea INTEGRAL EQUATIONS.
HUYU DOGO NI MUHANGA KAMA WALIVYO VIJANA WENGI WA KITANZANIA WASIOTAMBUA THAMANI YAO,WASIOUJUA UWEZO WAO NA WASIOKUWA TAYARI KUSIMAMA KAMA WAO.
Matokeo yake ni kuabudu watu na kutumiwa mithili ya condoms and toilet papers then wanatupwa kwenye jalala.kwao wao, tanzania sio kitu cha muhimu na chadema ni TRIBAL OWNED GROUP ambayo haistahili mtu yeyote nje ya uchagani akawa na nguvu za kiushawishi,kwao wao ni afadhali CHADEMA kife kuliko watu toka makabila mengine kukiongoza.
wanadanganya wajinga(na wajinga hao wanadanganyika kweli) kuwa ETI wanauwezo wa kuchukua maamuzi magumu....... damn it, maamuzi gani magumu yanaowashukia watu wa aina fulani tuuu..!!!!!!!
watu kama huyu BEN na akina MNYIKA ni COWARDS wasiojiamin, wanaoabudu na kusujudia watu,waliokuwa tayari kutumiwa(condoms/toilet papers),wasioweza kusimama wenyewe, wasioweza kuongoza bali kuongozwa na wanaoteswa na wivu wa kishetani kwa vitu ambavyo hawawezi kuvipata(HUSDA)
NO WONDER THEY HATE ZZK.
And this is because all qualities that ZZK has, BEN/MNYIKA/LEMA and puppets are millions of miles away from having them.
ZZK preaches peace,hater preach violence
ZZK preaches solidarity, haters preach separation
ZZK preaches leadership,haters preaches dictatorship
ZZK fights corruption, haters promotes it
ZZK preaches good governance, haters brand him as a traitor
DAMN IT ...... you have every reason to hate him, you have every reason to FALL WITH CHADEMA and perish with it because you know that with him(ZZK), chadema will be unstoppable in near future and you will have to kiss his boots as your leader.
you don't want that to happen and you are ready to fall,perish and vanish with chadema if that means to make him(ZZK) PERISH.
 
Kamanda Mbowe tunakukubali - wewe ni kisiki. Tatizo watu bado wana DONGE la kuukosa Uwenyekiti wa CDM, support yetu ndiyo siraha yako. Kaza buti kamanda wetu tunakaribia kufika, maadui zetu wameshalainika hawa.
 
Story za chumbani kwako unazileta huku? Hivi unategemea tutakujibu? Buku saba bana.. siku hizi mmekuwa makatibu wenezi wa chadema
we don't share the same level of thinking,keep it live pal........
 
Adui wa CDM kwa sasa walifanikiwa vita zifuatazo:

1. Kuisambaratisha NCCR -Mageuzi ya wakati ule - kwa kutumia mbinu hii ya vipandikizi
2. Kuisambaratisha kabisa CUF kwa kutumia mbinu ya Umoja wa kitaifa kama dhana ya maridhiano.

Sasa mbinu number moja ndiyo imeingia CDM, Hii itatumiwa rasmi kwenye uchaguzi wa ndani - CDM mkivuka hapa basi tunawakabidhi nchi 2015.

Kuweni macho, vita inayobuniwa na maadui zetu ni ya kutuchonganisha wenyewe kwa wenyewe (Civil War)., ni nguvu kuikabili bila kuwa na umakini wa hali ya juu.

Mungu ibariki CDM.
 
Katika Wanasiasa vijana ninavutiwa nao sana hapa Nchini wewe Ben ni namba moja,Hakika una kipaji cha pekee na una great future ahead.Ninachokuomba kama unapata muda wa kuongea na Viongozi wako aidha Dr Slaa au Mbowe waambie wajaribu kubadilisha image ya Chama at least kwa kuweka mchanganyiko wa Viongozi wenye sura ya Kitaifa,Mwenyekiti atoke Kanda nyingine na Katibu atoke Kanda nyingine.Pia suala la Mwigamba wali-handle with a great care la sivyo litwaweka CHADEMA katika wakati mgumu mno kisiasa maana mpaka sasa hivi watu wanaiamini CHADEMA taratibu mno.Epukaneni kufanya maamuzi ya aina yoyote yale yatakayoonekana kuwa na chembe chembe za ukabila au ukanda.Be careful.

TECH WIZ,

Shukrani sana kwa ushauri wako wa kistaarabu
 
Last edited by a moderator:
mkakati wenu ni endelevu wenye dhamira ya kuwalaghai watanzania, you give them a piece of bone and tell them to cherish it....
labda nikuulize wewe....
1.Inakuwaje chama chenu kimezungukwa na WASALITI?????
2. Inakuwaje wasaliti ndani ya chama wapo hadi ngazi ya makao makuu??
3. kwa nini nyie(CHAGAZ) sio miongoni mwa wasaliti wakati kila mtanzania anajua kuwa neno usaliti linawafaa zaidi wachaga(hususan wakitanguliziwa fedha na ahadi ya cheo)?????
4. usaliti una tafsiri gani ndani ya chama chenu(kama usaliti unaweza kuzidi ule usaliti uliofanywa na WACHAGA kwa kwenda UNO kudai uhuru wa CHAGALAND kinyume na NYERERE aliyekwenda kudai uhuru wa tanganyika)?????
5. Orodha ya wanaojua mapato na matumizi ya chama ndani ya chama chenu inahusisha watu wachache wenye mahusiano ya kikabila na kindugu na hakuna mwingine nje ya orodha hiyo anayestahili japo KUHOJI balance sheet ya chama na akijitokeza wa kuhoji mnamuita msaliti. kwa nini???
BEN... we love it when we hear you barking. because that is the duty of a dog to his master.
dogs are not allowed to enter in master's house because the house is too holly for them.
we let the mad dogs butcher each other for eternity,we let them segregate each other for the colour of their skin and the voice from their tang. but at the end...... dogs will remain to be dogs and their duty will be to alert their master.

........................................................THE SAGA CONTINUES ..............................................

Hiyo prejudice yako kwa wachagga ni kubwa.Unahitaji ushauri wa Kisaikolijia kuliko kujibiwa kwa hoja

Pia sioni correlation ya CHADEMA na Wachagga.

Kama wachaga walienda UNO kusaliti na hamuwataki ni kwanini basi mmekubali kuishi nao kwa uchungu na chuki badala ya kujitenga nai kama Pakistan na India baada tu ya uhuru?

Hizi mentality za kijima zinazochochewa na watu wachache kwa maslahi ya kisiasa haziimarishi umoja wetu kitaifa.

Inasikitisha kuona msomi anajenga hoja ya kiwango cha chini kabisa na kujibaraguza in public ku-demand attention!
 
ndugu yangu..... hata mimi namkubali sana BEN SAANANE(he knows it) lakini hiyo kazi unayompa ni sawa na kumpa mwanafunzi wa chekechea INTEGRAL EQUATIONS.
HUYU DOGO NI MUHANGA KAMA WALIVYO VIJANA WENGI WA KITANZANIA WASIOTAMBUA THAMANI YAO,WASIOUJUA UWEZO WAO NA WASIOKUWA TAYARI KUSIMAMA KAMA WAO.
Matokeo yake ni kuabudu watu na kutumiwa mithili ya condoms and toilet papers then wanatupwa kwenye jalala.kwao wao, tanzania sio kitu cha muhimu na chadema ni TRIBAL OWNED GROUP ambayo haistahili mtu yeyote nje ya uchagani akawa na nguvu za kiushawishi,kwao wao ni afadhali CHADEMA kife kuliko watu toka makabila mengine kukiongoza.
wanadanganya wajinga(na wajinga hao wanadanganyika kweli) kuwa ETI wanauwezo wa kuchukua maamuzi magumu....... damn it, maamuzi gani magumu yanaowashukia watu wa aina fulani tuuu..!!!!!!!
watu kama huyu BEN na akina MNYIKA ni COWARDS wasiojiamin, wanaoabudu na kusujudia watu,waliokuwa tayari kutumiwa(condoms/toilet papers),wasioweza kusimama wenyewe, wasioweza kuongoza bali kuongozwa na wanaoteswa na wivu wa kishetani kwa vitu ambavyo hawawezi kuvipata(HUSDA)
NO WONDER THEY HATE ZZK.
And this is because all qualities that ZZK has, BEN/MNYIKA/LEMA and puppets are millions of miles away from having them.
ZZK preaches peace,hater preach violence
ZZK preaches solidarity, haters preach separation
ZZK preaches leadership,haters preaches dictatorship
ZZK fights corruption, haters promotes it
ZZK preaches good governance, haters brand him as a traitor
DAMN IT ...... you have every reason to hate him, you have every reason to FALL WITH CHADEMA and perish with it because you know that with him(ZZK), chadema will be unstoppable in near future and you will have to kiss his boots as your leader.
you don't want that to happen and you are ready to fall,perish and vanish with chadema if that means to make him(ZZK) PERISH.

Mtukane Mnyika,Mtukane Ben,Mtukane Lema utakavyo lakini jitahidi kukabiliana na CHADEMA kwa hoja.

Hizi hasira zilizokusukuma kuandika haya uliyoandika zinazidi kuwafanya unaowataka waonekane hawafai.Grow up!
 
we don't share the same level of thinking,keep it live pal........

Huna jipya wewe gamba,et zito zito wehu mtupu! kama kakutuma mwambie tumemvumilia sana na muda umefika wa kumtimua.swali la kujiuliza ni: 1.kwa nini ashabikiwe na maccm? 2.mahusiano yake ya karibu na watawala wa ccm wenye ndoto za kuiua chadema yana agenda gani? 3.kuna kipindi aliwahi kunaswa na mwanahalisi akipanga mikakati na denis msack ya kuhujumu cdm ajitokeze atubu. 4.ukaribu wake na jack zoka mtu anayetuhumiwa kuhusika kupanga matukio ya mauaji na kudhoofisha upinzani uko vp? 5.pesa ya kununua hammer aliipata wapi na kwa nn aliiuza haraka baada ya kutuhumiwa kuhongwa na mafisadi? 6..kuhusu magari aliyompa kafulila na kumsapoti ashinde ubunge badala ya kusaidia chama chake? 7.vp kuhusu kundi la masalia? WANA CDM WANA HAKI YA KUTOMWAMINI NA HAWAWEZI KURUHUSU CHAMA CHAO KUWA REHANI. kwa vile watetezi wake wengi ni maccm bas wamkaribishe huko,au akafundishe kama alivyowahi kudai huko nyuma.JIBU HOJA
 
Back
Top Bottom