Kuna Viongozi wasaliti CHADEMA - Mbowe

Kuna Viongozi wasaliti CHADEMA - Mbowe

Pamoja na hayo ni vizuri kuangalia ukubwa wa tatizo kwa wao kutamani hayo madaraka, kama kuna mtu anatamani madaraka na kazi anaiweza mwenyekiti atumie mbinu iwezekanayo ili kumridhisha kwa namna fulani ili mambo yaende, tuko vitani, sio wakati wa kutawanyisha kikosi kiholela..ni wakati wa kuunganisha kikosi.
 
Hata yeye mbowe siyo msafi pia. Angekuwa msafi asingekuwa na uraia wa nchi mbili.
 
MBOWE mwenyewe ni msaliti kwa wananchi masikini na Katiba
 
chiaguzi za ngazi tofauti katika chama zapaswa kufanyika,sanduku la kula litaamua nani anahitajika katika ngazi mbalimbali chamani,haiwekani mtu anashikilia nafasi miaka 10 no uchaguzi hii sio democrasia,chama cha siasa ni chama cha watu na sio cha ukoo au familia furani,ukifanyika uchaguzi hao wanaotwa wasaliti watatoweka.

Kiongozi!

Unahisi vipi kama ungerudi darasani kwa miaka mingine mitatu ili kujifunza kuandika sentensi fasaha? maana licha ya kuja na povu kibao, bado hau eleweki umeandika nini, eti?
 
Hata yeye mbowe siyo msafi pia. Angekuwa msafi asingekuwa na uraia wa nchi mbili.

Acha ukulaza wewe!

Hakuna nchi inayo toa uraia wa nchi mbili kama nchi unayo toka haina sheria ya kuruhusu uraia wa nchi mbili. Uta upata uraia wa nchi hiyo pale tu utakapo ukana uraia wa nchi unayo toka (asili yako). Na hapa lazima usalimishe Passpoti yako.

Vinginevyo unaandika kitu usicho kujua na zaidi ni muendelezo wa Lumumba Project!!!

Tatizo la waTanzania mnashindwa kutofautisha uraia na ukaaji wa kudumu.
 
Mtoto wa mfalme haguswi hata kama kaua.

kweli kabisa kwani kawaua wengi tu kwa kuwabebesha sembe na kuisambaza kitaa huku vijana wakichangamkia dili la kuyawahi mauti bila prince ritz moko kuguswa!!!
 
Maadui hawana uwezo wa kutuamulia.Kama hao wasaliti na vibaraka wao ni wazuri basi waenda wakagombee huko Lumumba.

Kwanza uliona wapi Jeshi makini likabadili Majenerali katikati ya vita kwa kufuata matakwa na hila za maadui?

Kama suala ni uchaguzi basi subiri hao vibaraka wao waingie mbele ya sanduku la kura waone cha mtemakuni

jibu mwanana. hata kama uchaguzivungefanyika leo.itakuwacni upuuzi mkubwa kuendesha uchaguzi kwa shinikizo la wasaliti wapenda madaraka ,"na mawakala wa wakoloni weusi..........safari ya kuusaka ukomboz itaongozwa na watu wanaoaminika kwamba wanaamini ktk ukomboz..sio wapuuzi na wazandiki wanaomini katika usaliti huku wakijipambanua kinafiki kuwa wanamujumuhi wa Afrika ( Pabafricanist).

kitu muhm kutambua ni kwamba si lazima uwe mwenyekiti wa chamaili uweze kuleta mabadiliko makubwa ktk nchi. kama kyk nafas uliyopo unaongoza usaliti tukikupa uenyekiti bila shaka utaongoza mkakati mpana wa kuviza mapambano ya ukombozi na kuua hamasa ya umma kutafuta uhuru uliotekwa nyara na wasaliti wa nchi.... WATU HAWA NI AINA YA wasaliti walioiangusha na kuisambaratisha URUSI

We can easily give in to the evil forces of traitors. we must soldier on these revelations are ttue signs whch indicate tht victory against the betrayors of our independence is close to realization...History of our struggle for second liberation will keep record of their betrayal of the very course of freedom fighting...

inaumiza sana kuona kuna watu badala ya kuongeza nguvu ili tuikamilishe safari kwa kishindo kikubwa, wao wako busy kutafuta umaarufu binafsi na kufanya kila hila kukwamisha mapambano...historia itatunza kumbukumbu ya vitendo vyao..
 
hayakuhusu....Mapandikiz yote mliyoyopanga tutayakatilia mbali......!
shonza na mampamba mliwatetea hivo hivo..Leo wako wap?
njaa na madaraka ni maji na mafuta!

Kwa hiyo una taka kusema mi-CCM ndio inapo safishia rungu, eti?
 
Pamoja na hayo ni vizuri kuangalia ukubwa wa tatizo kwa wao kutamani hayo madaraka, kama kuna mtu anatamani madaraka na kazi anaiweza mwenyekiti atumie mbinu iwezekanayo ili kumridhisha kwa namna fulani ili mambo yaende, tuko vitani, sio wakati wa kutawanyisha kikosi kiholela..ni wakati wa kuunganisha kikosi.

usaliti siyo kielelezo cha kuweza....wasalitu huwezeshwa siku zote na wanaofadhili usaliti ili waonekane wanaweza...rejea historia ya kusambaratika kwa URUSI (USSR). watu wa namna hii huwa hawaridhiki mpaka lengo litimie..kwa sababu ukumbuke kukomboa nchi si lengo lao la msingi...

me nasema hao ambao mnasema wanaweza are mere POPULIST CHARACTERS. they can only lead us to an organized failure.
 
hatari iliyopo ktk kubadilisha UONGOZI WA JUU wa chadema ni HOFU ya kupachika viongozi nyanya ambao wataweza kulangaika na fedha za magamba HIVYO KUKIZIKA CHAMA CHETU,kwa magamba kumpatia dhaifu yoyote mil 500 siyo issue WANA CDM HATUNA BUDI KULIELEWA HILI,ili kukisimamia chama kiuadilifu na kuwakomboa watanzania kwa dhamira moja na moyo safi yahitaji UJASIRI NA UZALENDO WA KWELI,TUWAUNGE MKONO VIONGOZI WETU
 
Chadema ni chama kinachoendeshwa katika
misingi ya kilaghai. Kila anayehoji ulaghai huo anapachikwa jina
la "msaliti".
 
Magamba wanadhani kwa kutumia hao mamluki uchwara wanaweza kuiua chadema.hizo ni ndoto za mchana na kamwe hamtafanikiwa.mmeshindwa kukishauri chama chenu cha wauza sembe kiwakamate na kuwafunga wezi wa raslimali zetu akiwemo dentist mkuu kinana mnahangaika na cdm.poleni sana magamba
 
African Politicians! Hivi Mh Mbowe anapowaita wenzake wasaliti na waroho wa madaraka, ni nani ambaye yuko katika siasa hasiyetaka madaraka yanayoambatana na uanasiasa wake? Yeye alilazimishwa kuwa mwenyekiti wa Chama hicho na je mbona sasa anawaita majina machafu wenziwe wanaodai tu taratibu za kidemokrasia ndani ya chama zifanyike. Chama chochote cha siasa ambacho kinajipambanua kuwa ni cha kidemokrasia lazima kiheshimu misingi ya kidemokrasia ambayo ni pamoja na kuwaruhusu watu kutoa maoni mbadala hata Kama huyapendi wala hayakupendezi, pia kuwapa nafasi watu kuchagua kwa mujibu wa taratibu viongozi wawatakao.

Ukianza kupindisha taratibu hizo ili usalie madarakani basi ujue wewe ndio msaliti na mroho wa madaraka.
 
Magamba wanadhani kwa kutumia hao mamluki uchwara wanaweza kuiua chadema.hizo ni ndoto za mchana na kamwe hamtafanikiwa.mmeshindwa kukishauri chama chenu cha wauza sembe kiwakamate na kuwafunga wezi wa raslimali zetu akiwemo dentist mkuu kinana mnahangaika na cdm.poleni sana magamba

huyo jamaa yako mbowe nae ameshauza sana bwimbwi ndio maana hata office ya Chadema mtaa wa ufipa ipo karibu na masuper dealer wa sembe

kwa ujumla chadema ni chama kinachoendeshwa katika
misingi ya kilaghai. Kila anayehoji ulaghai huo anapachikwa jina
la "msaliti".
 
Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai.

Kila anayehoji ulaghai huo anapachikwa jina la "msaliti".
Nakile chama kinachoendeshwa kwa misingi ya rushwa na mwenyekiti wake wa taifa akiishia kulia lia bila kuchukua hatua mathubuti kinaitwaje vile?
 
Mbowe ndiyo mroho wa madaraka ndiyo maana kamudu kubadili katiba ili aendelee kuwa mwenyekiti wa chadema.
haiingii akilini unapowaita wenzako wasaliti wakati wewe umehusika kubadili mpaka katiba ili ubaki uongozini hii ni aibu kwa mbowe na uroho wa madaraka uliokithiri.
 
Back
Top Bottom