Kuna under 30 anayemiliki gari na nyumba?

Kuna under 30 anayemiliki gari na nyumba?

watoto wa wafanyabiashara kiasi fulani wanawenza kumiliki hivi v2 ndani ya muda mfupi hapa nazungumzia wale wafanyabiashara wenye mitaji kuanzia 50milion+
 
mali magari majumba viko viceversa na umri kijana usikate tamaa bado unayo nafasi...
 
nafahamu kuna vijana wengi mali wanazomiliki ni za majini haziwezi kudumu nakuambia zitapukutika 2
 
na walio waua wazazi wao wa shine mjini nao sijuh tuwaweke kundi lipi maana nawafahamu wa nne wana masharti magumu sana jamani hizi mali sio nzuli kweli yupo jamaa pale bandalini ana kenta 4 lakin analala chooni ahaaaa
 
Ndio ninavyovyote hivyo na ni under 27.
Let us be fair........utapata vipi nyumba na gari kwa jasho lako la halali at 25..?

M'bongo ukijitahidi sana umemaliza chuo at 23 afu tuseme una bonge la zali yaani kumaliza tu, ajira hii hapa.......in 2 yrs time unaweza kununua gari maana siku hizi gari sio issue kivilee.
Mtiti upo kwenye Nyumba sasa.

Ni vigumu sana kuwa na Nyumba na Gari chini ya umri wa miaka 30 kwa jasho lako halali unless otherwise illegal activity ihusike au la urithi.

I managed to own beyond them at 36. Thanks Almighty God.
 
Kijana huo umri kwa wasomi ....wengi wanakuwa wapo vyuoni....ama ndio kwaaaanza wanakamata ajira zao za kwanza mara baada ya kutoka vyuo...hivyo sio rahisi kumiliki mali hizo....ila kwa wafanyabiashara vijana ambao wengi wao ambao hawakupita kwenye elimu zetu hizi.....form four six ...chuo.....kwa umri huo tayari walikuwa na uwezo wa kumiliki nyumba na gari....pia vile vile vijana ...waliowahi kukaa kwenye vitengo ....TRA kama tax assessors bandarini.....kwenye mabenk vijana wale wa faulo flani hv.....nk..vijana wa umri huo ....wakati wa JK tayari walikuwa na uwezo wa kumiliki hayo mambo....ila sio kwa zama hizi.
Sure mkuu,lakini baadhi katika umri huu wapo wenye izo asset kaka but sio wengi
 
mimi isingekuwa my extended family na shida nyingi hizi, basi hadi kufikia umri huo ningekuwa na gari na nyumba and more Nashukuru Mungu niliwahi kusoma na kupata kazi nzuri katika umri mdogo, nilimaliza my master degree at the age of 24. Nikapata kazi ya kunilipa mshahara mzuri sana at the age of 25, now nina miaka 27. Namshukuru Mungu napata mshahara si haba, nikijibana naweza nunua gari, nikajenga nyumba na nyongeza kabla ya kufikia 30. Lakini doo, mshahara ukitoka tuu unapukutika hatare, Umtumie bi mdashi home, shangazi sijui mjomba nini na nini basi najukuta naendelea kuwa maskini tuu bila kupenda. saivi ndo nipo nawajengea wazazi nyumba, nimalizanane nao ndo nianze kujijenga mimi.
At least i have found my exactly match ! Hayo majukumu ya ziada ndo yanatufanya tusifike on time ! Mimi mwenyew nawajengea wazaz kwanza then ndo nianze kupambana na ya kwangu !
 
Sikufundishi unyimi, nakwambia nilichofundishwa na mwalimu wangu Prof. Wakuru Magigi, kwa sasa yupo wizara ya kilimo.
Prof alinifundisha hivi; ni bora uwe mnyimi sasa ili uje kuwanufaisha wajao. Kwa story yako ni wazi kuwa kama utaendelea kugawa mshahara wako basi wewe mwenyewe utabaki maskini kwa kutegemea salary na hata hao unaowagawia watabaki maskini, LABDA uwe unawapa mitaji na si pesa ya kujikimu.

Suluhisho; wanyime huku ukijibana kuweka vitega uchumi vyako ambavyo vitakuongezea kipato, ambapo utakuwa na uwezo mzuri wa kusaidia watoto wao vizuri.
Wakuru Magigi? Anajiita Phd holder not doctor
 
Laiti kama kila anayesema ana nyumba na gari katika umri huo wa under 30 angetuma picha ya nyumba na gari analomiliki. Unakuta kinyumba kipo juu ya kichuguu na passo nje halafu jamaa anaringa anasema nami nakaa kwangu.
 
Gari unauweza kumiliki dakika yoyote ile pale tu unapomaliza chuo na kupata kazi. Mkopo upo tena unakatwa % ya kawaida tu kutoka kwenye mshahara wako. So ni kawaida kijanamdogo kabisa kumiliki gari ndogo ya kawaida katika umri huo pamoja na kiwanja. Issue sasa ni kuijenga nyumba kamili iliyokamilika katika umri huo ili hali unapambana pia maandalizi ya kuanzisha familia.
 
mimi isingekuwa my extended family na shida nyingi hizi, basi hadi kufikia umri huo ningekuwa na gari na nyumba and more Nashukuru Mungu niliwahi kusoma na kupata kazi nzuri katika umri mdogo, nilimaliza my master degree at the age of 24. Nikapata kazi ya kunilipa mshahara mzuri sana at the age of 25, now nina miaka 27. Namshukuru Mungu napata mshahara si haba, nikijibana naweza nunua gari, nikajenga nyumba na nyongeza kabla ya kufikia 30. Lakini doo, mshahara ukitoka tuu unapukutika hatare, Umtumie bi mdashi home, shangazi sijui mjomba nini na nini basi najukuta naendelea kuwa maskini tuu bila kupenda. saivi ndo nipo nawajengea wazazi nyumba, nimalizanane nao ndo nianze kujijenga mimi.
Ulisoma mapema hadi raha
 
And it's true nimemaliza first degree nikiwa na miaka 21, nikaunganisha kusoma Masters, kwa miaka miwili . Sasa hapo uongo uko wapi? Hesabu ndogo hivi zinakushinda
Uko sahihi kabisa
Inategemea na familia inayokuzunguka. Kama ni wategemezi sana kwako, safari bado ni ndefu. Binafsi nilikuwa sana na tegemewa. Hadi leo hii nafikisha 30 sina nyumba wala gari zaidi ya kumiliki trekta, daladala na canter
 
Back
Top Bottom