Nilivyoanza ujasiriamali miaka kadhaa nyuma wakati bado nikiwa mdogo sana, vitu ambavyo vilinimotivate vilikuwa ni Gari kali, kuishi Mbezi Beach, kuvaa nguo kali kali, kupiga misele na Celebrities, kua na mademu wakali... nilivyopata hivyo vyote nikaja kugundua ni utoto tu, jambo ambalo nimelipa kipaumbele ni kujipa na kujipa tena knowledge, nilikuja kugundua kua na knowledge kamwe hautafilisika, nilikuja kugundua network ni jambo la msingi sana sana ili uwe sustainable milele, zaidi ya yote the most powerful thing ni kuwainua wale ambao bado wapo chini...
Boss, wekeza kwenye knowledge, jipe elimu afu jipe tena. Nina 23 yrs, nasukuma luxury car, nasafiri popote duniani bila kuhofia kufilisika, sijajenga bado, lkn siku nikijenga basi nina uhakika itakua ni hekalu fulani... hakuna mtu amewahi kufilisika knowledge!!
Na ukipata usipigie watu kelele... stay humble, usidharau watu, usiite watu kwa miruzi... just remain cool and be cool